Mkuu ntaendelea si kwa kupenda bali kudumisha mahusiano na hao madada,mara nyingi huwa wana story za waume zao za kuumiza sana.na mwisho wa story ndio unajikuta unamuhudumia tu japo apooze machunguMuuza ubuyu,sijui unacho mlaumu huyu babukijana ni nn..maana amekuambia kwamba hao wakeza watu ndo huwa wanamtaka awafanye ..na hata hivyo alikua akiwa sisitiza kwamba wameolewa ila walikua hawasikii...bwana babukijana..endelea kuwatia ukuni kama kawa..mwanawaneeee....!!!!!!!!!!!!
Sasa kama wewe mwenyewe haujitumia na hautimizi majukumu yako ndani ya ndoa yako unategemea nini?SASA NA WEWE MKE WA MTU KWANINI UNAKUBALI KUTEMBEA NJE?HIVI HAWA WANAWAKE WANA AKILI KWELI?AU AKILI ZAO NI ZA KUVUKIA BARABARA NA KWENDA SALOON NA KU POST HUMU MMU :shut-mouth:
babu kijana, ujumbe wako mzuri ila kilichodhihirisha upumbavu wako ni hapo kwenye bold, red and italics! Think twice kijana uzuri tunakufahamu physically hivyo huwezi kuleta shida sana!!Asalamu alekumu wana jf,heri ya mwaka mpya
Mada ya leo ni hii
Katika miaka ya nyuma nimekuwa na mahusiano na wanawake mbalimbali na tukaachana kwa sababu tofauti zisizopingika.baada ya hapo wengi wao wameendelea kuwa marafiki zangu na tunawasiliana mpaka sasa.wengi wao pia wameolewa au wana ma-bf,tatizo linakuja kwamba karibia wote huwa nikionana nao wanahitaji penzi!zamani nilikua mwoga sana wa wake za watu lakini nikajikuta nafanya hiyo zambi.hao mabinti mi huwa sina morale nao ila nawachukulia poa,sasa inapokuja swala la wao kudai penzi wakati ni wake za watu huwa nashangaa sana.na pia nawakumbusha kuwa una mume ww lakini hawajali.mwishoni naishia kuwatafuna ingawa sipendi.sababu kubwa ninayodhani inasababisha wafanye hivyo nahisi ni nyie wanaume kutowapa penzi inavyotakiwa.mnaendekeza sana pombe,mnapenda sana kuangalia mechi na kukaa baa kula vitimoto huku wake zenu wanaliwa huko mitaani.inabidi tubadilike maana hiyo tabia ndio inasababisha matatizo ktk mahusiano.muwapende wake zenu na msiwachukulie km baiskeli.vinginevyo kina babu k tupo around na tutaendelea kuwahudumia wake zenu mpaka mtakapo badili tabia
Muwe na mwaka mpya wa uchungu mkilifikiria hili.
Asalamu alekumu wana jf,heri ya mwaka mpya
Mada ya leo ni hii
Katika miaka ya nyuma nimekuwa na mahusiano na wanawake mbalimbali na tukaachana kwa sababu tofauti zisizopingika.baada ya hapo wengi wao wameendelea kuwa marafiki zangu na tunawasiliana mpaka sasa.wengi wao pia wameolewa au wana ma-bf,tatizo linakuja kwamba karibia wote huwa nikionana nao wanahitaji penzi!zamani nilikua mwoga sana wa wake za watu lakini nikajikuta nafanya hiyo zambi.hao mabinti mi huwa sina morale nao ila nawachukulia poa,sasa inapokuja swala la wao kudai penzi wakati ni wake za watu huwa nashangaa sana.na pia nawakumbusha kuwa una mume ww lakini hawajali.mwishoni naishia kuwatafuna ingawa sipendi.sababu kubwa ninayodhani inasababisha wafanye hivyo nahisi ni nyie wanaume kutowapa penzi inavyotakiwa.mnaendekeza sana pombe,mnapenda sana kuangalia mechi na kukaa baa kula vitimoto huku wake zenu wanaliwa huko mitaani.inabidi tubadilike maana hiyo tabia ndio inasababisha matatizo ktk mahusiano.muwapende wake zenu na msiwachukulie km baiskeli.vinginevyo kina babu k tupo around na tutaendelea kuwahudumia wake zenu mpaka mtakapo badili tabia
Muwe na mwaka mpya wa uchungu mkilifikiria hili.
Duuuuuu.Wewe ni ndugu yake na Mwita Maranya ???
Na kwa nini umkekete wakati wewe ndio umesababisha kwa kuendekeza computer na kutomhudumia??
Lahaulaaa..Makubwa tena haya..murder case hiyoYaani hapa anayekeketwa ni huyo atayethubutu kujipendekeza kwa mke wangu...yaani namkeketa O718 yake bila ganzi
muuza ubuyu! acha hasira zisizo na maana!Mpumbavu mkubwa sana wewe babukijana! Yaani unajivunia kutia wake za watu kwa kisingizio eti waume zao hawawatimizii, shenzi kabisa! Koma ndugu yangu kama unajipenda ili huu mwaka 2013 uuanze vizuri la sivyo maisha yako yapo hatarini! Mwanamalundi nakuomba uje huku umsaidie huyu anayejifanya babukijana make mie napata kichefu chefu! Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sawasawa,ukiona anakasirika jua ndo walewale.hapo lazima ajirekebishe akiendelea kuzembea wenzie wataendelea kumsaidiamuuza ubuyu! acha hasira zisizo na maana!Huo ni uqeli na lazima usemwe! babukijana hapendi kuwavua chupi wake za watu; wanamlazimisha.
Ni wake wangapi wanagongwa nje sababu za waume kutojali mahitaji ya mitombo ya wake zao?
Naunga mkono hoja. Na mke wa mtu akijipendekeza qa Bazazi ni lazima aliwe.
Matokeo mengine ni ajali kazini.
Mwanajeshi anajiunga na jeshi huku akijua likizuka la kuzuka; Yeye ni halali wa Risasi.
Aidha askari muoga sio askari. Mke wa mtu akijipitisha chapa qa qenda mbele.
Bazazi Nimesema!