Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Kuwa realistic my dia.Haina shida ukizoea kawaida tu...
Unajichanganya na watu maisha yanasonga
kuwa single ni mtihani sana. Sema maneno ya kufariji ndio yanawafanya watu wawe single ila wakiwa vyumban mwao wanahisi kabisa kuna ubavu unakosekana. Labda kama hujawahi kuwa kwenye mahusiano tangu uzaliwe.