Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 60
Tanzania ina matatizo mengi. Miongoni mwao ni yale matatu ya ASILI kutoka kwa Baba wa taifa ambayo ni (1) Umaskini; (2) Ujinga na (3) Maradhi. Haya ymeendelea kuwepo kwa kuwa na yafuatayo:-
a) Kuendelea kuwepo kwa RUSHWA.
b) Kuendelea kukumbatia ujinga wa kuchakachua - vyeti vinachakachuliwa [Mpaka Waheshimiwa Mawaziri!]; Mafuta, Mitihani, mabenki nk!
c) Siasa kugeuzwa mtaji wa kuneemeka na sio kuwatumikia wananchi.
d) nk
Sidhani kama kauli za kujivuna kwa mfano 'ninajijenga mwenyewe' zitatusaidia na dhamira ya kupambana na maadui watatu wa Taifa letu. Tutimie jitihada kuweza kufikia malengo na sio kupotezeana muda.
Sasa swali langu, je wanasiasa hawa vijana wanatusaidia au tutaendelea na uozo tulioukuta kutoka kwa elder generation?
a) Kuendelea kuwepo kwa RUSHWA.
b) Kuendelea kukumbatia ujinga wa kuchakachua - vyeti vinachakachuliwa [Mpaka Waheshimiwa Mawaziri!]; Mafuta, Mitihani, mabenki nk!
c) Siasa kugeuzwa mtaji wa kuneemeka na sio kuwatumikia wananchi.
d) nk
Sidhani kama kauli za kujivuna kwa mfano 'ninajijenga mwenyewe' zitatusaidia na dhamira ya kupambana na maadui watatu wa Taifa letu. Tutimie jitihada kuweza kufikia malengo na sio kupotezeana muda.
Sasa swali langu, je wanasiasa hawa vijana wanatusaidia au tutaendelea na uozo tulioukuta kutoka kwa elder generation?