Jehanamu Hii
Member
- Dec 16, 2016
- 41
- 31
- Thread starter
- #21
loh.
Mie napendekeza tu,kwa vile ikulu imeamua kuwa na mkalimani kwa ajili ya Rais....
Masomo nayo yote,yanayoyofundishwa kwa Kiswahili........
napita tu mkuu...
Asante Rebeca. Wananchi wanatakiwa wadai haki yao ya kupata elimu katika lugha wanayoilewa.