MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Hivi hawa mgambo wa city wakichukua vitu vya wamachinga vinaishia wapi?
Na kwanini wachukue vitu.... Na sio watu?
Mara nyingi nimepita kariakoo naona mgambo wamebeba mali za watu mbalimbali na hakuna watu waliokamatwa...
Hii imekaaje?
Na kwanini wachukue vitu.... Na sio watu?
Mara nyingi nimepita kariakoo naona mgambo wamebeba mali za watu mbalimbali na hakuna watu waliokamatwa...
Hii imekaaje?