Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,221
- 85,359
Ifike sasa viongozi, wakuu wa nchi na mamlaka wajitazame upya na waangalie wapi walipo kosea. Bila hivyo itafikia wakati wananchi watachoshwa na mambo ya matisho, na hii yaweza kua mbaya kuliko matarajio yaoKuna baadhi ya watu/Taasisi hazipendezwi na kukosolewa au kuambiwa ukweli.
Naomba mniwie Radhi askari Polisi. Nilisha sema hapa hapa na naomba mniwie Radhi!!
Ha ha ha ha hii nchi hadi miaka 5 iishe labda size ya Magereza iongezwe!!