Wanaotaji umeme wa solar hii inawahusu

uwezo wake ni wakusukuma tv,taa 5,radio na kuchaji simu,pindi ukitaka kuongeza uwezo itakughalim ununue tena kulingana na maitaj utakayo itaji mda huo

Nina airconditioners mbili kila moja 1800b.t.u, fridge moja, tv moja, feni 3, computer 2, na taa 8 kila moja 100w nijulishe gharama yake kama haizidi milioni mbili tukafunge sasa hivi hapa Dar
 
Nikitaka mnifungie umeme kama wa watt 2500 itaenda bei gani. Ninataka niwe na kagrid kangu kawe kanasaidiana na TANESCO
 
Hapo tuweke wazi,tv tulizonazo au zipi,kwa ufahamu wangu mfumo usiochagua tv ni wa betr 100ah(mzuri kwa sasa zaid ya 200,000) soler panel 100w{zaidi ya 150,000} inveter 200~300 [100,000] sasa isiwe tunaijenga CHINA tu, kwa kujaza madudu yasiyoleta matokeo yaliyokusudiwa majumbani kila kukicha..fafanua na uwe wazi zaidi ili kutushawishi.
 
kwa gharama hizo utaweza kutumia tv,radio,kingamuz,dek,utachaj sim na taa 5,sis hatuitaj faida kubwa kama upo dar nitafute kwa namba izo apo juu upate umeme wa uhakika
Mkuu hebu fafanua vizuri tv inches ngapi ? Radio yenye ukubwa kiasi gani na mengine.
 
Ungefanya vizuri zaidi kama ungetoa maelezo kuhusu uwezo wa vifaa , betry N ngapi. panel Watts ngapi tungeelewa zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom