Wanaosema upinzani ukipita nchi itauzwa nijibu hili swali

Joyce joyce

JF-Expert Member
May 23, 2020
457
1,973
Wakuu, kuna watu wanazunguka kueneza uongo kuwa upinzani ukipita eti nchi hiii itauzwa Kwa wazungu, sasa naomba wanijibu haya maswali

1. Je nchi ikiuzwa sisi watu 55milioni tutawekwa wapi?

2. Je inamaanaa hii nchi itasukumwa had huko Ulaya?

3. Je ikiuzwa na sisi tuliomo ndani tutauzwa?

4. Je mazao yetu yaliyomo kwenye hiii Ardhi nayo yataondoka Au watatuachia?

5. Na nyumba zetu je zitaondoka?

Haya Kama kweli itauzwa Mimi naomba waipeleke huko kwao na sisi tukaishi na wazungu bhana
 
Mbona tushauzwa zamani sana. sisi ni bidhaa za wanasiasa wanaamua chochote wakijisikia hakuna jinsi ya kukataa maamuzi yao
 
kama mkiambiwa inauzwa mnafikiri nyinyi mtafukuzwa,ni halali muendelee kuongozwa na ccm tu.
 
Hata kama sina chama...

Lakini haya maswali uliyouliza ni ya kitoto Sana au tuseme ni ya kipuuzi.

Jipange uweke uzi wenye maswali (Konki).

Asante
 
Ni upofu kufikiri huko ndo kuuzwa! Haina maana hiyo Ila wanamaanisha rasilimali nchi kama zitakabidhiwa wafitini ni sawa na kuuza nchi.. maana hizo ndo nyezo za uchumi hivyo kuzitapanya nyenzo za uchumi ni sawa na kuuza nchi.. kuruhusu sheria ama katiba kuingiliwa hovyo na watu wa nje huko ndo kuuza nchi.. kuingia mikataba ya hovyo huko ndo kuuza nchi na hivyo ndivyo navyoolewa..

Nb: Sina chama msije kuanza kusema "buku saba"😂😂
 
Ccm hawana kipigo cha kumpiga mtu akalia, bali wanawizi tu ndio wanaotumia, sasa safari hii mtajamba cheche na mtakunya moto.
 
Hao wameishiwa na hoja, hao wazungu wanatudai zaidi ya 40t+, na uwezo wa kuwalipa hatuna, kwanini wasichukue nchi, ila wasubiri wapinzani waingie ndio wachukue. Bado wanapiga propaganda za kizee miaka hii?
 
Kusema kweli, hayo maswali yali stahili kuulizwa na mtoto asiyezidi darasa la 4.
Ni aibu hata kujibu.
 
Back
Top Bottom