Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,451
- 25,609
Unafahamu tofauti ya Kutubu na kuungamaSuala hapa sio kutubu dhambi kwa Padri au hadharani ..
Unafahamu tofauti ya Kutubu na kuungamaSuala hapa sio kutubu dhambi kwa Padri au hadharani ..
Maana yake wewe hujawai tenda dhambi...??Sijawai kwenda kwa padri kufanya hivyo. Je mimi ni mkosefu ?
Hapo umemkaba koo .. Wasabato na wafuasi wao ni mafarisayo walimsulubisha yesu na bado wanataka endelea kupotoshaPadre ni kwa kiswahili...kwa kingereza ni Priest...
Haya nipe andiko
Kanisa Katoliki ndio la Kristo, ndio kanisa lililoanzishwa na Kristo peke yake....Siyo Bwana aliyewapa huo uwezo sema kanisa katoliki ndiyo limewapa
Bado lugha inakushinda hii.. Unabisha ujinga tuuPadre > Father
Kuhani > Priest
Kwenye biblia hakuna neno Padre, na maana ya padre ni Father, kwenye biblia linamaana tofauti kabisa mfano sala ya wakatoliki ya Our Father,Who is in heaven..huwezi sema Padre wetu uliyembinguni....
Wasabato ni weupe kabisa hawajui chochote si historia si dini.. Ila wakumbuke hatujasahau uongo wao wa kusema yesu anafanya hukumu ya upelelezi sasa sijui anampeleleza nani wakati yeye anajua tulipotoka na tunapoenda1. Kipi kigumu zaidi, mtu kuja na kueleza dhambi zake kwa Padri kama Yesu alivyoagiza na kisha Padri mhusika kumwambia Mungu amemsamehe dhambi zake au Ellen White kujigeuza na kuwa Mungu wa kufahamu dhambi za watu na kutaka kuzitaja?
2. Yasome maandiko matakatifu sanjari na Historia.Shirika la Jesuits lilianzishwa kati ya mwaka 1545 na 1563 wakati suala la Kitubio linaonekana katika Kanisa la mwanzo kabisa kabla hata haijajulikana ni lini hao Jesuits walingalianzisha hilo shirika lao.(Rejea Society of Jesus - Wikipedia)
Hebu anza kuwalipua hawa wapiga ramliKanisa la sabato lililoanzishwa kwa misingi ya "kisangoma" (na hadi leo linaendelea na muelekeo huo huo),ndio la kweli?
Ombeni labda nisiwe hai na JF ifungwe. Nina orodha mambo ya mama yenu, Ellen White na wapiga ramli wenzie kama 1000 hivi, tena ya hovyo sana. Nitayachambua moja baada ya jingine tena kwa uweledi unaostahili. Ni lazima mfike mahali muelewe kwamba kupiga kwenu kelele haimaanishi kwamba watu hawakuwa na majibu ya ujinga na upotoshaji wenu.
Mkuu kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa mijadala ya mleta mada ni kwamba tumeanza kuchambua wapinga Kristo...(Wasabato na Waislam)Hahaah sasa mkuu tupo kwenye uhalali wa mapadri kusamehe watu dhambi! Wewe unakimbilia kwa wasabato! Hii maada inawahusu hao wasabato?
Mkuu andaa kisu cha kula nyama....maana Wasabato dawa yao ipo jikoni inatokotaWasabato ni weupe kabisa hawajui chochote si historia si dini.. Ila wakumbuke hatujasahau uongo wao wa kusema yesu anafanya hukumu ya upelelezi sasa sijui anampeleleza nani wakati yeye anajua tulipotoka na tunapoenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Papa naye huungama dhambiUnajua kama padri nae huwa anaungama dhambi?
Outside the Catholic Church no SalvationYesu wangu...unamaanisha walionje ya ukatoriki au wasioungama kwa padri wote ni motoni kwakuwa hawajasamehewa?
Sasa ubaya upo wapi kwa wanaotumia Kiebrania au Kilatini ..Nafikri tutumie kiyunani ndicho ambacho kwa asilimia nyingi biblia imetoka ktk maneno ya kiyunani
Katika hizo maana nyingi hata hicho alichoandika ni maana mojawapo katika hizo nyingi za KanisaKanisa lina maana nyingi
Nitaipinga hoja yako mkuu kupitia kipengele chako cha mada chenye maneno "Historia ya maungamo ya dhambi katika agano la kale"
Nianze kwa kukupa history kidogo. Mara baada ya anguko la Adamu na Hawa pale Eden Mungu alikuwa ameshaanda mpango wa wokovu wa Mwanadamu ndiyo maana utaona kuna mnyama alichinjwa pale ili wapate nguo za kuficha uchi wao lkn halikuwa lengo hasa Ila alichinjwa ili awe mbadala wao kwa dhambi walizotenda ndiyo maana hawakufa kama sheria isemavyo ya mshahara wa dhambi ni mauti.
Kutokea hapo utaona ibada za kafara kupitia wanyama zikianza kwa kila aliyekuwa akitenda dhambi na hata habari ya ukuhani pia baadaye hema ya kukutania ilipoanzishwa katika kitabu cha kutoka 25 agizo la ujenzi wa hema hiyo lilipotolewa.
Katika ujenzi ule Mungu anamwambia musa kuwa hema ile itakuwa mfano wa ile ya mbinguni kwa hiyo note hata mbinguni kuna huduma ya upatanisho kupitia kuhani
Turudi kwa mada hema ya kukutania Ilikuwa na sehemu kuu tatu uwa wa nje, patakatifu na patakatifu pa patakatifu ambapo ktk uwa wa nje ndiyo sadaka za kuteketezwa zilipotolewa ambapo mdhambi alitwaa kondoo kama mbadala wake na kwenda naye kwa kuhani ambaye aliact kama mpatanishi baina ya mwanadamu mdhambi na Mungu ambapo aliungama dhambi zake kwa kuweka mikono yake juu ya kichwa cha kondoo kama namna ya kuhamisha dhambi kutoka kwake kwenda kwa kondoo kisha alimchinja na kuhani kukinga damu na kuingia nayo kwenye chumba cha pili cha patakatifu kwa ajili ya kufanya upatanisho wakati kondoo akiteketezwa katika ua wa nje huu ndiyo ulikuwa utaratibu wa wokovu ulioandaliwa na Mungu kabla ya Kristo kuja duniani
Baada ya Kristo na kufa kama mwanakondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu yohana 1:29 na kufa pale msalabani habari za kwenda kuungama kwa kuhani zilikoma au huduma za kikuhani na utoaji kafara ulikwisha maana huduma ile ilikuwa kivuli kumuwakilisha Kristo na sasa Kristo ameshakuja hakuna haja tena kwenda kwa mwanadamu kuungama wakati Kristo yupo
Kwa hiyo hoja yako ya kuungama kwa padri ni kutaka kuturudisha kwa huduma ya kikuhani ya mwanadamu ambayo ni hatari sana maana unapinga kwamba Kristo bado hajafa kwa ajili ya dhambi na wewe unageuka kuwa mpinga Kristo
Leo hatuna haja ya kuungama kwa mwanadamu tena maana tunaye Kristo mwombezi wetu kuhani asiyepatikana na mauti anayehudumu ktk hekalu lisilofanywa kwa mikono ya mwanadamu huyo pekee astahili kutuombea msamaha kwa Mungu Baba na si mwingine yoyote
Katubu kwa PADRE kwamba umedanya hapa jamii forums kwa kusema uongo! Kwa nini msamiati huu wa Padre msiuingize kwenye biblia wakati wa kufasiriKapingane na Waraka wa Yakobo 5:14:
“14 Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.”
Neno “Wazee wa Kanisa” linamaanisha Kasisi.Biblia ya Kiswahili imejipatia neno “Wazee wa Kanisa” kutokana na neno la Kigriki (Lugha ya Agano Jipya) Presbyter lenye kumaanisha Kasisi au Baba au Padri.
Padri maana yake ni baba. Kumbe Yakobo anapowausia watu kuungama dhambi zao, anamaanisha wafanye hivyo mbele ya Mapadri ambao wao ndio wanapatiwa uwezo huo na Kristu.Kumbe, Kristu anauhisha mahusiano kati ya Mungu na mwanadamu kupitia kwa padri.
Huwezi kuwa umedandia maandiko matakatifu kwa mbele na ukafanikiwa kuyaelewa haya mambo.Basi, Imekula kwenu mazima.
Heri yako wewe usiyemjinga,unayezijua lugha zote za ulimwengu! Japo unashindwa kutoa maana halisi ya Padre kibiblia!
Hapo umenenaNitaipinga hoja yako mkuu kupitia kipengele chako cha mada chenye maneno "Historia ya maungamo ya dhambi katika agano la kale"
Nianze kwa kukupa history kidogo. Mara baada ya anguko la Adamu na Hawa pale Eden Mungu alikuwa ameshaanda mpango wa wokovu wa Mwanadamu ndiyo maana utaona kuna mnyama alichinjwa pale ili wapate nguo za kuficha uchi wao lkn halikuwa lengo hasa Ila alichinjwa ili awe mbadala wao kwa dhambi walizotenda ndiyo maana hawakufa kama sheria isemavyo ya mshahara wa dhambi ni mauti.
Kutokea hapo utaona ibada za kafara kupitia wanyama zikianza kwa kila aliyekuwa akitenda dhambi na hata habari ya ukuhani pia baadaye hema ya kukutania ilipoanzishwa katika kitabu cha kutoka 25 agizo la ujenzi wa hema hiyo lilipotolewa.
Katika ujenzi ule Mungu anamwambia musa kuwa hema ile itakuwa mfano wa ile ya mbinguni kwa hiyo note hata mbinguni kuna huduma ya upatanisho kupitia kuhani
Turudi kwa mada hema ya kukutania Ilikuwa na sehemu kuu tatu uwa wa nje, patakatifu na patakatifu pa patakatifu ambapo ktk uwa wa nje ndiyo sadaka za kuteketezwa zilipotolewa ambapo mdhambi alitwaa kondoo kama mbadala wake na kwenda naye kwa kuhani ambaye aliact kama mpatanishi baina ya mwanadamu mdhambi na Mungu ambapo aliungama dhambi zake kwa kuweka mikono yake juu ya kichwa cha kondoo kama namna ya kuhamisha dhambi kutoka kwake kwenda kwa kondoo kisha alimchinja na kuhani kukinga damu na kuingia nayo kwenye chumba cha pili cha patakatifu kwa ajili ya kufanya upatanisho wakati kondoo akiteketezwa katika ua wa nje huu ndiyo ulikuwa utaratibu wa wokovu ulioandaliwa na Mungu kabla ya Kristo kuja duniani
Baada ya Kristo na kufa kama mwanakondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu yohana 1:29 na kufa pale msalabani habari za kwenda kuungama kwa kuhani zilikoma au huduma za kikuhani na utoaji kafara ulikwisha maana huduma ile ilikuwa kivuli kumuwakilisha Kristo na sasa Kristo ameshakuja hakuna haja tena kwenda kwa mwanadamu kuungama wakati Kristo yupo
Kwa hiyo hoja yako ya kuungama kwa padri ni kutaka kuturudisha kwa huduma ya kikuhani ya mwanadamu ambayo ni hatari sana maana unapinga kwamba Kristo bado hajafa kwa ajili ya dhambi na wewe unageuka kuwa mpinga Kristo
Leo hatuna haja ya kuungama kwa mwanadamu tena maana tunaye Kristo mwombezi wetu kuhani asiyepatikana na mauti anayehudumu ktk hekalu lisilofanywa kwa mikono ya mwanadamu huyo pekee astahili kutuombea msamaha kwa Mungu Baba na si mwingine yoyote
Wenye maneno mengi Mara zote huwa ni waongo. Maji hayaondoi dhambi,kubatizwa kwenye maji ni ishara tu ya kuzikwa utu wa kale na kuzaliwa upya, tangu mwanzo dhambi ilisafishwa kwa damu ya mwana kondoo kupitia kuhani,baadae damu ya Yesu ikamwagika pale msalabani kwa ajili ya Mimi na wewe, hivyo Damu ya Yesu yatosha kwa ondoleo la dhambi na hakuna mbadalaUbatizo huondoa dhambi na maungamo huondoa dhambi.Kwani hujawahi kujibatiza mwenyewe kwa maana si unajua maji ndiyo yanaondoa dhambi na unafahamu fika yanapatika kwenye mito na maziwa au baharini?