Wanaoongoza kuinyonya Afrika sasa ni Asia, sio wazungu au Magharibi

du noma sana, ila vipi kwa tz hii kipnd JPm alipokuwa anasema tz ya viwanda ?, na pia viwanda vilivyopo vya akin mo na bakhresa je wao hawapati ushindani mkuu?
Inategemea na viwanda.
-kwenye Mafuta wakati huo huo wa JPM, MO alikuwa na conflict na Serikali alikua akileta mafuta toka Indonesia ambayo ni almost yalikua tayari, yanafanyiwa process ndogo tu hapa. Sio mafuta tu kwa MO analeta Tambi, Biskuti na bidhaa nyingi ambazo ni ready made na kuja kuwa branded hapa. So hii ni njia ya kwanza wanakuwa na viwanda ambavyo kazi kubwa imefanywa nje hapa wanakuja kumaliza tu.

- kuna viwanda ambavyo vinalindwa na Serikali kama vile sukari, ukinunua nje sukari ni bei rahisi ili kulinda wafanyabiashara wa ndani huruhusiwi kuleta sukari bila kibali maalum, ndio maana wanaweza kusurvive, sio sukari tu kuna Cement na viwanda vingi tu ambavyo serikali hairuhusu kutoa nje bila kibali maalum.
 
Sasa shamba labibi danganyika sindio litanyonywa kuliko maana Asia ni fulu vilemba...
 
Ukifanya research vizuri unaweza toboa. Kuna vitu ambavyo raw material ipo hapa Tz kwa wingi, ina compensate labor cost kubwa, mfano Tiles zinazotengenezwa Tanzania ni bei rahisi kuliko Tiles za China kwenye soko.

Pia kuna vitu ambavyo kodi zake ni kubwa Bandarini ukitengeneza hapa kwetu inakuwa rahisi.
Sawa mkuu, asante kwa kunipa moyo
ngoja nifanye kile nachokiwaza naamini MUNGU atanisaidia.
 
Pia kaka naomba kuuliza ivi Tz tuna kiwanda cha nguo? au Jezi ? vipi mzawa akiamua kuwa na kiwanda cha nguo, itakuw jambo zuri kwakuwa ataleta ajira kwa baadhi ya vijana, ila vipi kuhus chin ambzo zinatengenez nguo na kutuletea, haziwezi ingia vita ya kiuchumi na mhusika mzawa?, huwa nachukia sana kwann kila kitu watuletee wao wakat tunawez kutengenez vyetu na uchumi wetu ukakua.
Inategemea na viwanda.
-kwenye Mafuta wakati huo huo wa JPM, MO alikuwa na conflict na Serikali alikua akileta mafuta toka Indonesia ambayo ni almost yalikua tayari, yanafanyiwa process ndogo tu hapa. Sio mafuta tu kwa MO analeta Tambi, Biskuti na bidhaa nyingi ambazo ni ready made na kuja kuwa branded hapa. So hii ni njia ya kwanza wanakuwa na viwanda ambavyo kazi kubwa imefanywa nje hapa wanakuja kumaliza tu.

- kuna viwanda ambavyo vinalindwa na Serikali kama vile sukari, ukinunua nje sukari ni bei rahisi ili kulinda wafanyabiashara wa ndani huruhusiwi kuleta sukari bila kibali maalum, ndio maana wanaweza kusurvive, sio sukari tu kuna Cement na viwanda vingi tu ambavyo serikali hairuhusu kutoa nje bila kibali maalum.
 
Wazungu wamekuwa wakitupiwa lawama kwa kiasi kikubwa kwamba wanafanya njama za kuinyonya na kuididimiza Africa lakini uhalisia unakataa kwa kuangalia mambo kadhaa.
Bro, wanaoongoza kuinyonga Africa ni viongozi wetu wala sio hawa Waasia (hasa wachina)
 
Kwani ukitaka kumnyonya mtu mpaka ukanyage ardhi yake?kwa nini unafikiri anawalenga waislamu?
 
Nchi za asia ndizo zinazo ikandamiza Afrika sasa ,hili liko wazi.

Wazungu wanawatumia waarabu na wahindi kama mqdalali wao.
 
Wazungu wamekuwa wakitupiwa lawama kwa kiasi kikubwa kwamba wanafanya njama za kuinyonya na kuididimiza Africa lakini uhalisia unakataa kwa kuangalia mambo kadhaa.

1. Uagizaji wa magari kutoka nje ndio manunuzi makubwa zaidi katika biashara ya Africa na Serikali za Africa ndizo waagizaji wakubwa zaidi wa magari ya kifahari muuzaji mkubwa wa magari hayo akiwa Japan.

2. Silaha inayotumika zaidi katika vita, migogoro, ugaidi, uasi na mauaji barani Africa ni AK-47 ambayo ni bunduki inayouzwa na Urusi.

3. Muuzaji mkubwa wa nguo japo nyingi ni hafifu kwa ubora hapa Africa kwa sasa ni China. Wakulima wa Bariadi wanaozalisha pamba wanauza kg 1200 ambapo shati moja kutengenezwa halimalizi hata Kg1 halafu wanakuja kuuziwa hilo shati kwa 10,000. Hapo bado hatujazungumiza viwanda vyetu vya nguo kuuwawa kifo cha mende na bidhaa hizo za mchina.

6. Afrika Chakula kingi tunachoagiza ni ngano, sukari na mafuta kutoka Russia, India, Brazil na China.

7. Wajenzi wakubwa waliochukua kandarasi muhimu za ujenzi wa Africa kwa Sasa katika kila sekta ni Wachina. Kama ni 10% za miradi, ubora hafifu wa miondombinu au kudumaa kwa makandarasi wa ndani wao Wachina ndio wa kulaumiwa.

8. Sehemu kubwa ya dawa za Africa kwa sasa zinatoka India. Hata dawa ambazo zingewezwa kutengenezwa Africa zinatoka huko.

9. Biashara kubwa za madawa ya kulevya Africa zinahusisha zaidi nchi za Asia kama China, India, Iran na Pakistan. Pia biashara haramu za ujangili zinahusisha watu kutoka maeneo hayo.

10. Muendeshaji bandari mkubwa zaidi na katika nchi nyingi kwa sasa Africa ni DP World ambao ni Waarabu.

Mataifa ambayo yanalaumiwa sana na kushitumiwa kwa conspiracies za kuikandamiza Africa wanachimba madini tu ambayo angalau hata yanatoa ajira za kueleweka na yana uwazi kiasi. Pia sehemu kubwa ya mapato kupitia Utalii na misaada ni kutoka hayo mataifa na zaidi sana hayo mataifa hata husomesha raia wa kiAfrica katika elimu bora zaidi.
Lakini vyote hivi vinahitaji Dollar, US Dollar kuipata sasa Mikopo yake na Riba na Masharti yake utaelewa nini maana ya Neo-Colonialism (Ukoloni mamboleo)
 
Wazungu wamekuwa wakitupiwa lawama kwa kiasi kikubwa kwamba wanafanya njama za kuinyonya na kuididimiza Africa lakini uhalisia unakataa kwa kuangalia mambo kadhaa.

1. Uagizaji wa magari kutoka nje ndio manunuzi makubwa zaidi katika biashara ya Africa na Serikali za Africa ndizo waagizaji wakubwa zaidi wa magari ya kifahari muuzaji mkubwa wa magari hayo akiwa Japan.

2. Silaha inayotumika zaidi katika vita, migogoro, ugaidi, uasi na mauaji barani Africa ni AK-47 ambayo ni bunduki inayouzwa na Urusi.

3. Muuzaji mkubwa wa nguo japo nyingi ni hafifu kwa ubora hapa Africa kwa sasa ni China. Wakulima wa Bariadi wanaozalisha pamba wanauza kg 1200 ambapo shati moja kutengenezwa halimalizi hata Kg1 halafu wanakuja kuuziwa hilo shati kwa 10,000. Hapo bado hatujazungumiza viwanda vyetu vya nguo kuuwawa kifo cha mende na bidhaa hizo za mchina.

6. Afrika Chakula kingi tunachoagiza ni ngano, sukari na mafuta kutoka Russia, India, Brazil na China.

7. Wajenzi wakubwa waliochukua kandarasi muhimu za ujenzi wa Africa kwa Sasa katika kila sekta ni Wachina. Kama ni 10% za miradi, ubora hafifu wa miondombinu au kudumaa kwa makandarasi wa ndani wao Wachina ndio wa kulaumiwa.

8. Sehemu kubwa ya dawa za Africa kwa sasa zinatoka India. Hata dawa ambazo zingewezwa kutengenezwa Africa zinatoka huko.

9. Biashara kubwa za madawa ya kulevya Africa zinahusisha zaidi nchi za Asia kama China, India, Iran na Pakistan. Pia biashara haramu za ujangili zinahusisha watu kutoka maeneo hayo.

10. Muendeshaji bandari mkubwa zaidi na katika nchi nyingi kwa sasa Africa ni DP World ambao ni Waarabu.

Mataifa ambayo yanalaumiwa sana na kushitumiwa kwa conspiracies za kuikandamiza Africa wanachimba madini tu ambayo angalau hata yanatoa ajira za kueleweka na yana uwazi kiasi. Pia sehemu kubwa ya mapato kupitia Utalii na misaada ni kutoka hayo mataifa na zaidi sana hayo mataifa hata husomesha raia wa kiAfrica katika elimu bora zaidi

Wazungu wamekuwa wakitupiwa lawama kwa kiasi kikubwa kwamba wanafanya njama za kuinyonya na kuididimiza Africa lakini uhalisia unakataa kwa kuangalia mambo kadhaa.

1. Uagizaji wa magari kutoka nje ndio manunuzi makubwa zaidi katika biashara ya Africa na Serikali za Africa ndizo waagizaji wakubwa zaidi wa magari ya kifahari muuzaji mkubwa wa magari hayo akiwa Japan.

2. Silaha inayotumika zaidi katika vita, migogoro, ugaidi, uasi na mauaji barani Africa ni AK-47 ambayo ni bunduki inayouzwa na Urusi.

3. Muuzaji mkubwa wa nguo japo nyingi ni hafifu kwa ubora hapa Africa kwa sasa ni China. Wakulima wa Bariadi wanaozalisha pamba wanauza kg 1200 ambapo shati moja kutengenezwa halimalizi hata Kg1 halafu wanakuja kuuziwa hilo shati kwa 10,000. Hapo bado hatujazungumiza viwanda vyetu vya nguo kuuwawa kifo cha mende na bidhaa hizo za mchina.

6. Afrika Chakula kingi tunachoagiza ni ngano, sukari na mafuta kutoka Russia, India, Brazil na China.

7. Wajenzi wakubwa waliochukua kandarasi muhimu za ujenzi wa Africa kwa Sasa katika kila sekta ni Wachina. Kama ni 10% za miradi, ubora hafifu wa miondombinu au kudumaa kwa makandarasi wa ndani wao Wachina ndio wa kulaumiwa.

8. Sehemu kubwa ya dawa za Africa kwa sasa zinatoka India. Hata dawa ambazo zingewezwa kutengenezwa Africa zinatoka huko.

9. Biashara kubwa za madawa ya kulevya Africa zinahusisha zaidi nchi za Asia kama China, India, Iran na Pakistan. Pia biashara haramu za ujangili zinahusisha watu kutoka maeneo hayo.

10. Muendeshaji bandari mkubwa zaidi na katika nchi nyingi kwa sasa Africa ni DP World ambao ni Waarabu.

Mataifa ambayo yanalaumiwa sana na kushitumiwa kwa conspiracies za kuikandamiza Africa wanachimba madini tu ambayo angalau hata yanatoa ajira za kueleweka na yana uwazi kiasi. Pia sehemu kubwa ya mapato kupitia Utalii na misaada ni kutoka hayo mataifa na zaidi sana hayo mataifa hata husomesha raia wa kiAfrica katika elimu bora zaidi.
Ama kwa hakika tunavyo zungumzia unyonyaji katika Africa, inamaanisha ni Ukandamizaji,Uporaji wa rasilimali za Africa n.k. Hii inafanywa na mataifa yote yaliyoendelea yakiwemo ya Ulaya, Marekani na Asia. Hivyo hawa wote ni WANYONYAJI HAKUNA MZIMA HAPO.
 
Wazungu wamekuwa wakitupiwa lawama kwa kiasi kikubwa kwamba wanafanya njama za kuinyonya na kuididimiza Africa lakini uhalisia unakataa kwa kuangalia mambo kadhaa.

1. Uagizaji wa magari kutoka nje ndio manunuzi makubwa zaidi katika biashara ya Africa na Serikali za Africa ndizo waagizaji wakubwa zaidi wa magari ya kifahari muuzaji mkubwa wa magari hayo akiwa Japan.

2. Silaha inayotumika zaidi katika vita, migogoro, ugaidi, uasi na mauaji barani Africa ni AK-47 ambayo ni bunduki inayouzwa na Urusi.

3. Muuzaji mkubwa wa nguo japo nyingi ni hafifu kwa ubora hapa Africa kwa sasa ni China. Wakulima wa Bariadi wanaozalisha pamba wanauza kg 1200 ambapo shati moja kutengenezwa halimalizi hata Kg1 halafu wanakuja kuuziwa hilo shati kwa 10,000. Hapo bado hatujazungumiza viwanda vyetu vya nguo kuuwawa kifo cha mende na bidhaa hizo za mchina.

6. Afrika Chakula kingi tunachoagiza ni ngano, sukari na mafuta kutoka Russia, India, Brazil na China.

7. Wajenzi wakubwa waliochukua kandarasi muhimu za ujenzi wa Africa kwa Sasa katika kila sekta ni Wachina. Kama ni 10% za miradi, ubora hafifu wa miondombinu au kudumaa kwa makandarasi wa ndani wao Wachina ndio wa kulaumiwa.

8. Sehemu kubwa ya dawa za Africa kwa sasa zinatoka India. Hata dawa ambazo zingewezwa kutengenezwa Africa zinatoka huko.

9. Biashara kubwa za madawa ya kulevya Africa zinahusisha zaidi nchi za Asia kama China, India, Iran na Pakistan. Pia biashara haramu za ujangili zinahusisha watu kutoka maeneo hayo.

10. Muendeshaji bandari mkubwa zaidi na katika nchi nyingi kwa sasa Africa ni DP World ambao ni Waarabu.

Mataifa ambayo yanalaumiwa sana na kushitumiwa kwa conspiracies za kuikandamiza Africa wanachimba madini tu ambayo angalau hata yanatoa ajira za kueleweka na yana uwazi kiasi. Pia sehemu kubwa ya mapato kupitia Utalii na misaada ni kutoka hayo mataifa na zaidi sana hayo mataifa hata husomesha raia wa kiAfrica katika elimu bora zaidi.
Hivi siku hizi RUSSIA IMEHAMA BARA TOKA EASTERN EUROPE MPAKA ASIA??
PIa unafahamu maana kuu ya unyonyaji??
 
Hivi siku hizi RUSSIA IMEHAMA BARA TOKA EASTERN EUROPE MPAKA ASIA??
PIa unafahamu maana kuu ya unyonyaji??
Russia kuna kipande kipo ulaya na kingine kipo Asia na ural mountain ndo imetenganisha ulaya na asia

Moscow ipo ulaya ila vladivostock ipo asia
Upande ambao una shughuli nyingi za biashara upo ulaya
 
Russia kuna kipande kipo ulaya na kingine kipo Asia na ural mountain ndo imetenganisha ulaya na asia

Moscow ipo ulaya ila vladivostock ipo asia
Upande ambao una shughuli nyingi za biashara upo ulaya
Russia ni easterm europe sio asia full stop
 
Russia ni easterm europe sio asia full stop
Angalia hio raman ya bara la asia usiwe unabisha bisha tu
9B2A664C-1F7A-4D8D-BB53-AB4D54D23DD9.jpeg
 
Wazungu wamekuwa wakitupiwa lawama kwa kiasi kikubwa kwamba wanafanya njama za kuinyonya na kuididimiza Africa lakini uhalisia unakataa kwa kuangalia mambo kadhaa.

1. Uagizaji wa magari kutoka nje ndio manunuzi makubwa zaidi katika biashara ya Africa na Serikali za Africa ndizo waagizaji wakubwa zaidi wa magari ya kifahari muuzaji mkubwa wa magari hayo akiwa Japan.

2. Silaha inayotumika zaidi katika vita, migogoro, ugaidi, uasi na mauaji barani Africa ni AK-47 ambayo ni bunduki inayouzwa na Urusi.

3. Muuzaji mkubwa wa nguo japo nyingi ni hafifu kwa ubora hapa Africa kwa sasa ni China. Wakulima wa Bariadi wanaozalisha pamba wanauza kg 1200 ambapo shati moja kutengenezwa halimalizi hata Kg1 halafu wanakuja kuuziwa hilo shati kwa 10,000. Hapo bado hatujazungumiza viwanda vyetu vya nguo kuuwawa kifo cha mende na bidhaa hizo za mchina.

6. Afrika Chakula kingi tunachoagiza ni ngano, sukari na mafuta kutoka Russia, India, Brazil na China.

7. Wajenzi wakubwa waliochukua kandarasi muhimu za ujenzi wa Africa kwa Sasa katika kila sekta ni Wachina. Kama ni 10% za miradi, ubora hafifu wa miondombinu au kudumaa kwa makandarasi wa ndani wao Wachina ndio wa kulaumiwa.

8. Sehemu kubwa ya dawa za Africa kwa sasa zinatoka India. Hata dawa ambazo zingewezwa kutengenezwa Africa zinatoka huko.

9. Biashara kubwa za madawa ya kulevya Africa zinahusisha zaidi nchi za Asia kama China, India, Iran na Pakistan. Pia biashara haramu za ujangili zinahusisha watu kutoka maeneo hayo.

10. Muendeshaji bandari mkubwa zaidi na katika nchi nyingi kwa sasa Africa ni DP World ambao ni Waarabu.

Mataifa ambayo yanalaumiwa sana na kushitumiwa kwa conspiracies za kuikandamiza Africa wanachimba madini tu ambayo angalau hata yanatoa ajira za kueleweka na yana uwazi kiasi. Pia sehemu kubwa ya mapato kupitia Utalii na misaada ni kutoka hayo mataifa na zaidi sana hayo mataifa hata husomesha raia wa kiAfrica katika elimu bora zaidi.
Umeongea ukweli mkuu

lakini Kuna tofauti Kati ya kufanya kitu kwa ma kubaliano na kufanya kwa kulazimishwa

Ukiangaloa Asia na Africa tuna fanya kwa kuku baliana

lakini
mzungu ilikuwa afrika itake istake lazima ifanye ambavyo inge amliwa kufanya

Sasa ukiangalia utagundua uhusiano wa Asia na Africa ni mzuri kuliko wa Hawa westen people

Lakini hata hivyo nikushukuru kwa kufikiria na kuandika kitu tofauti na kilicho zoeleka kwenye bongo zetu
 
Russia kuna kipande kipo ulaya na kingine kipo Asia na ural mountain ndo imetenganisha ulaya na asia

Moscow ipo ulaya ila vladivostock ipo asia
Upande ambao una shughuli nyingi za biashara upo ulaya
Usitake kuleta mambo kama ya Turkiye hapa kuwa 67 ipo asia asilimia ilobaki ipo Europe.
RUSSIA INAJULIKANA IPO BARA GANI???
 
Back
Top Bottom