Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,626
- 46,270
Hakuna makombora yoyote ya Marekani au NATO yaliyowekwa Ukraine.
Kwa bahati mbaya wakati wa Cuban missile crisis kijana Nondo alikuwa hajazaliwa, na hajajishughulisha kutafuta taarifa zake!!
Kusema ukweli Nondo kajiaibisha na hastahili jina LA Nondo ila anafaa aitwe Fito!!
Kwa akili ya fito kwa kuw Mexico ni sovereign state basi inaweza kumkaribisha mchina aweke makombora yake hapo!! Na anadhani marekani itakubali hilo!!
Kuna siasa za super powers!! Zikiweka mstari mwekundu ukiuvuka unapigwa na hakuna wa kuingilia kati!!