ni baada ya tra kuchukua jukumu la kukusanya kodi hiyo wakati wa kurenew m/vehicle licence unalipia na fire ili upate licence safi sanaaa kodi itakayopatikana kuimarisha huduma za zimamoto hadi vijijini inatarajiwa 10bilioni kukusanywa big uppp
hivi hoja hapa ni ipi? Kukusanya kodi au kuwa na vifaa vya zima moto vinavyofanya kazi.
Ni baada ya TrA kuchukua jukumu la kukusanya kodi hiyo wakati wa kurenew m/vehicle licence unalipia na fire ili upate licence safi sanaaa kodi itakayopatikana kuimarisha huduma za zimamoto hadi vijijini inatarajiwa 10bilioni kukusanywa big uppp
na fire extinguisher watatoa au ni sticker tuu?walivyowajinga wanaweza uza sticker tuu