Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
- Thread starter
- #21
dc hapa mbona hivi vipi tenaaa mbona mtoto analalamika sana umemfanya nini
hapo sasa nimekuelewa umeongea kiutu uzima nadhani ataelewa sasa
TF kulikoni wanionea wivu mtoto wa watu?
DA na TF,
Naomba msisahau..babu anawapenda sana wajukuu zake na wish yake ni kuwaona wana vitu 3 tu...vingine vitakuja baadaye,
FURAHA, AMANI na RAHA.....Kuna anayetamani kingine...Babu atawapatia ila hakuna zaidi ya hayo!