Swala hapa ni kelele achana na maswala ya mtu kudhurura jikite kwenye mada na toa hojaWe itakua ni mzururaji tena kwa miguu ungekua ata na kavitz Wala usingekaa uyasikie hayo mabomu na ukiendelea yatakuua kabisa ili usiyasikie milele
Mkuu huku Chugga tumeshawazoea, kumbuka ukikuta dereva bodaboda ana TVS au BOXER hawezi akawa na ujinga huoMadereva wanaoendesha Pikipiki zinazopiga mabomu wanachafua Mazingira kwa Kusababisha kelele ziaizo za lazima na usumbufu kwa watu. Hivyo NEMC na Jeshi la Polisi hawa watu wamulikwe na ili waachane na tabia hizo ambazo huleta usumbufu.
Yaani hapo kwenye king'ora jomonii uuwiiHawa watu wa pikipiki ni kero kubwa kama machinga.
Wao wanaamini kuwa wana haki ya kufanya chochote na asilimia kubwa ni wale washamba bush ambao vijijini walikuwa wanajifanya ma bontown
SASA HIVI WAMEKUJA NA MTINDO WA KUWEKA HORN KUBWA ZENYE MLIO WA MAGARI MAKUBWA AU VINGORA VYA AMBULANCE NA KUSABABISHA KERO KUBWA
Na wewe utakuwa boda dei waka 🙊🙊🤫🤫🤫🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️We itakua ni mzururaji tena kwa miguu ungekua ata na kavitz Wala usingekaa uyasikie hayo mabomu na ukiendelea yatakuua kabisa ili usiyasikie milele
kwa hiyo pikipiki yeyote ina uwezo wa kufanya hivyo!Daah, ukiwa unaendesha ndio utajua raha yake. Wao huita breakdown. Pale unacheza na accerelator pamoja na cratch. Wala hakuna bomu hapo
Ndiyo, ni utundu wako tu kucheza na cratch. Ndiyo maana hayo mabomu yanaripuka tu sehemu za watu. Akiwa barabarani peke yake kwanini hayaripuki?kwa hiyo pikipiki yeyote ina uwezo wa kufanya hivyo!
kwa hiyo pikipiki yeyote ina uwezo wa kufanya hivyo!