umeelewa neno langu la mwisho au ww ndo unaenda haraka zaidi?unaelewa maana ya kutunza?kufadhili? Je unaona raha wa Ethiopia wakikuta wanaenda usemapo?vyovyote vile,yoote si sahihi. Hatupendi kuambiwa ktk taifa ili kila sentensi ina neno kenya. Alaf unaona kawaida tu,ivi inakuwaje ktk taifa makini mtu anaweza kutoka na kuingia bila kujulikana baadae akutwe nje?tuna intelijensia kweli,usalama wa taifa ?wapelelezi?taifa letu linaangamia kwa kukosa maarifa.
Kwani Karume anakamatika?
Hata aliyemteka Dr. Ulimboka si alikamatwa..........!
Raia wa kenya! Wakiristo??? Dhaifu anajiamini kwamba atakata mzizi wa fitina kama watuhumiwa watakamatwa!! Hii movie itakuwa nzuri sana zaidi ya ile ya Dr Steven Ulimboka....Duuuuh!! yaani very interested movie!!
......Na Mungiki wamemtishia Jaji mkuu wa Kenya........!.......Na Said Mwema alitokea INTERPOL Nairobi kabla ya kuwa IGP.......Na Rais Kibaki aka Mzee wa kudondosha suruali yuko Dar
Labda mmoja wao awe ni Gaidi Ustadhi Hassan Ilunga ndio nitawaamini