Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Unaweza ukawa mmojawapo
pole ila usiku wa leo kabla ujaenda kanisani kesho bora ujiangalie vyema ulioa kwa makusudi gani
wapo wengi wameoa ama kuolewa wakiwa na malengo tofautiwapo waliooana
sababu ya umri mkubwa,mali,kualazimishwa,wengine anaOGOPA majukumu na hili linawaumiza sana wanapopewa
mtoto wa mtu na kushindwa kumtunza ama kumhifadhi
sasa haya yote yanaletwa na akukimbilia kuvaa kiatu kisichokutosha,,wapo wengi wamekaa si kwamba awajapata wa kuoa ama kuolewa ni kwamba kila viatu wakitest ama vinawabana ama vinapwea na wengine kuaminikwa kuwa kampuni ya bora bado ipo ,,ipo siku watapata size ya vatu vyao...pengine bado ujaoa uko kwenye mchakato ndugumpendwa wetu naomba uwe makini usije lalamika yesu akupendi la hasha umevaa oversize ...na afadhali ukute vidogo kuliko vinapwaya unawezatamani dunia iongoze na cameroon...nakuomba bado una nafasi mungu akusaidie upate size yaa kiatu chako..najua wengine wanakutana na oversize hadi kwenye manukato lakini uiogope huyo ni wako wa milele
jumapili njema
mancity 3 -qpr 2 ullale nacho hik
pole ila usiku wa leo kabla ujaenda kanisani kesho bora ujiangalie vyema ulioa kwa makusudi gani
wapo wengi wameoa ama kuolewa wakiwa na malengo tofautiwapo waliooana
sababu ya umri mkubwa,mali,kualazimishwa,wengine anaOGOPA majukumu na hili linawaumiza sana wanapopewa
mtoto wa mtu na kushindwa kumtunza ama kumhifadhi
sasa haya yote yanaletwa na akukimbilia kuvaa kiatu kisichokutosha,,wapo wengi wamekaa si kwamba awajapata wa kuoa ama kuolewa ni kwamba kila viatu wakitest ama vinawabana ama vinapwea na wengine kuaminikwa kuwa kampuni ya bora bado ipo ,,ipo siku watapata size ya vatu vyao...pengine bado ujaoa uko kwenye mchakato ndugumpendwa wetu naomba uwe makini usije lalamika yesu akupendi la hasha umevaa oversize ...na afadhali ukute vidogo kuliko vinapwaya unawezatamani dunia iongoze na cameroon...nakuomba bado una nafasi mungu akusaidie upate size yaa kiatu chako..najua wengine wanakutana na oversize hadi kwenye manukato lakini uiogope huyo ni wako wa milele
jumapili njema
mancity 3 -qpr 2 ullale nacho hik