Wanandoa:..najua wengi hatufanyi..

SI unit

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
1,953
766
Katika imani zetu, kuna namna mbalimbali za kusali/kuswali/kuomba kulingana na imani husika. Kutokana na misingi ya imani zetu, huwa tunaomba kwa ajili ya vitu mbalimbali mfano: kufaulu mitihani, kupata mke/me mwema, kupata kazi/cheo, kabla/baada ya kula, n.k. Kwa wanandoa "halali" kuna jambo wanasahau kufanyia maombi (inawezekana 98%). Jambo ninalozungumzia ni kuomba kabla na baada ya tendo la ndoa maana lile ni tendo takatifu. Je, wewe unafanya hivyo?
...
NB: Hii ni kwa wanandoa halali tu. Haiwahusu waofanya uzinzi!
 
Duh..... hii kali. lakini nimeipenda coz hata kwenye bible nimeiona lakini nafikiri wengi hawaombi kabla ya tendo la ndoa. ngoja nijiandae ili nikioa niwe naomba kabla ya tendo la ndoa
thanks
 
Sory, sipo kwenye ndoa ila napenda kujua kwa hao wenye ndoa wanakuwa wanaombea hilo tendo au inakuwaje?
 
Duh..... hii kali. lakini nimeipenda coz hata kwenye bible nimeiona lakini nafikiri wengi hawaombi kabla ya tendo la ndoa. ngoja nijiandae ili nikioa niwe naomba kabla ya tendo la ndoa
thanks
.
Vizuri kijana!
 
Madhumuni ya maombi ni utakaso wa kitakachojaliwa na tendo hilo, huwezi fanya maombi na changudoa. Lazima iwe mali yako by law.
 
mmh kunakuomba kweli wakati mahamu yamenipanda! labda baada ya tendo!
 
Ni vyema kuomba dua kwa sisi waislamu mume anatakiwa asome dua ifuatayo"bismillah,allahuma janib-nas minal shaitwan wa jannib-nass minal shwaitan ma razaktana" tafsiri yake"ewe mwenyezi mungu tuepushe na shetani ktk tendo hili na ukiepushe na shetani kitu utachoturuzuku(mtoto)
 
Ni vyema kuomba dua kwa sisi waislamu mume anatakiwa asome dua ifuatayo"bismillah,allahuma janib-nas minal shaitwan wa jannib-nass minal shwaitan ma razaktana" tafsiri yake"ewe mwenyezi mungu tuepushe na shetani ktk tendo hili na ukiepushe na shetani kitu utachoturuzuku(mtoto)
.
Ishaalah ustadh!
 
Katika imani zetu, kuna namna mbalimbali za kusali/kuswali/kuomba kulingana na imani husika. Kutokana na misingi ya imani zetu, huwa tunaomba kwa ajili ya vitu mbalimbali mfano: kufaulu mitihani, kupata mke/me mwema, kupata kazi/cheo, kabla/baada ya kula, n.k. Kwa wanandoa "halali" kuna jambo wanasahau kufanyia maombi (inawezekana 98%). Jambo ninalozungumzia ni kuomba kabla na baada ya tendo la ndoa maana lile ni tendo takatifu. Je, wewe unafanya hivyo?
...
NB: Hii ni kwa wanandoa halali tu. Haiwahusu waofanya uzinzi!
Once in life time inatosha. Nilioomba siku ya mwanzo hivyo sasa naendelea tu!
 
Back
Top Bottom