SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Baada ya siku 100 na ushee madarakani, Kikwete amesalimu amri, analalama ni kweli maisha magumu na haonyeshi ufumbuzi wa kuyatatua isipokuwa kuegemeza utetezi kwa waliomtangulia.
Wananchi wanalalamika kwa kuongezeka gharama za maisha.
My take;
Ajabu nani atayatatua?
Wananchi wanahitaji mwelekeo mpya wenye matumaini mapya. CCM wameshindwa je tufanyaje?
Nawasilisha
Wananchi wanalalamika kwa kuongezeka gharama za maisha.
My take;
Ajabu nani atayatatua?
Wananchi wanahitaji mwelekeo mpya wenye matumaini mapya. CCM wameshindwa je tufanyaje?
Nawasilisha