acha wale majani
wakifa wengine wataenda kuchukua ardhi na nafasi kwao
shit...
acha wale majani
wakifa wengine wataenda kuchukua ardhi na nafasi kwao
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi
Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile bado wako enzi za mkoloni mjerumani?
Hivi jimbo la kisarawe lina mbunge kweli?
wabunge waliopita ni:
KIGOMA ALI MALIMA (marehem)
MZEE JANGUO (alikuwa mkurugenzi THA)
Jamani kuna siri gani ambayo inafanya viongozi wa serikali na chama na NGO's kulikimbia hili jimbo la kisarawe?
Nashauri Rais atangaze hali ya dharura ili ijulikane imekuwaje wananchi ambao ni watanzania wanakula mizizi wakati kuna programu za maendeleo, wna wanatengewa fedha za maendeleo na wanakatwa kodi za kila namna