Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,511
- 220,198
Taarifa mpya inaonyesha kwamba, Baada ya Maandamano ya Wiki nzima ya kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za uchaguzi, yaliyoandaliwa na Chadema kwenye baadhi ya maeneo kufanikiwa kwa 100%, Wananchi wa Maeneo ambayo Maandamano hayo hayakupita wamechachamaa wakitaka jambo hilo muhimu lifanyike haraka kwenye maeneo yao ili nao wapate Baraka za Mungu.
Pamoja na mambo mengine, Maandamano ya Chadema yamekuwa na Hotuba Kabambe za Viongozi wake kwenye mikutano ya hadhara, Hotuba ambazo zimefukua mambo mengi ya kichovu ambayo yameamsha ari ya wananchi kudai haki zao.
Hapa Chini Naambatanisha Sheria Mbovu kabisa za Uchaguzi wa Tanzania zinazopingwa na Wananchi na ambazo tayari zimesainiwa na Rais Samia Suluhu Hassan
Pamoja na mambo mengine, Maandamano ya Chadema yamekuwa na Hotuba Kabambe za Viongozi wake kwenye mikutano ya hadhara, Hotuba ambazo zimefukua mambo mengi ya kichovu ambayo yameamsha ari ya wananchi kudai haki zao.
Hapa Chini Naambatanisha Sheria Mbovu kabisa za Uchaguzi wa Tanzania zinazopingwa na Wananchi na ambazo tayari zimesainiwa na Rais Samia Suluhu Hassan