Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Hat off for the young man...hii ndio mimi huwa naita 'kutusua'. Sio unazaliwa unakuta mihela kibao kwenye familia halafu unajitia umetusua. Kuanzia leo sitam'criticize' Domo bata zake anazokula...well deserved!!
Kwel kabisa.. dizain ya watoto wa balesa wanavotusumbua hapa mjini, wakati
wamezaliwa wamezikuta.
Mkuu watoto wa Bhakresa kweli wamezikuta lakini baba yao hajawalea kimayai na kutanua tu. Kwanza wameenda shule na wanapiga mzigo kishenzi kwenye kampuni za baba yao. Hakuna mtoto wa Bakhresa ambaye anatanua tu bila kufanya kazi. Baada ya kazi ndio wanatanua, kitu ambacho watu wengi hufanya.