mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
Ni kweli kabisaa imetokea uswazi!
Dingi baada ya kuzamia masanga ya usiku kwa saana akarudi maskani kwake.
Akaanza kudai uroda kwa mamaa. ndipo mamaa akamshauri poa, ila acha watoto walale vizuri.
Dingi kwa vile masanga yalihamia kichwa cha chini, akafosi.
Na mamaa akaona akubali yaishe.
Mechi ikaanza kwa kishindo, wakati goli lilipo anza kupatikana, vilio vikasikika hadi mtoto mmoja akaamka. Alipo iona ile hali akainuka akachukua kisu na kumkita baba yake cha **** pyuu!(Jee kisu kingezama katikati kwenye mköýè?)
Acheni ugomvi! acheni ugomvi! mtoto alibwaka
Mamaa akamkumbusha unaona mambo yako ya mipombe!
Dingi anaugulia nyumbani manake kashindwa kupata pf3 utajieleza nini polisi.
Dingi baada ya kuzamia masanga ya usiku kwa saana akarudi maskani kwake.
Akaanza kudai uroda kwa mamaa. ndipo mamaa akamshauri poa, ila acha watoto walale vizuri.
Dingi kwa vile masanga yalihamia kichwa cha chini, akafosi.
Na mamaa akaona akubali yaishe.
Mechi ikaanza kwa kishindo, wakati goli lilipo anza kupatikana, vilio vikasikika hadi mtoto mmoja akaamka. Alipo iona ile hali akainuka akachukua kisu na kumkita baba yake cha **** pyuu!(Jee kisu kingezama katikati kwenye mköýè?)
Acheni ugomvi! acheni ugomvi! mtoto alibwaka
Mamaa akamkumbusha unaona mambo yako ya mipombe!
Dingi anaugulia nyumbani manake kashindwa kupata pf3 utajieleza nini polisi.