WanaJF wa humu wengi ni wabaguzi

Mnabagua sana na hii itawacost ipo siku nilipotoa kuwa nimetumiwa email ya ajabu kama hizo ya mtu kuniinclude kuwa wanataka kutuua hamkutoa ushirikiano kwa maana mie ni malaya sindio nyie sio miungu Mungu ndio ananilinda. Kabisa mkae mkijua .

Najingine maisha Mungu anapanga ipo siku hata nyie mtakuwa na shida tu na mtakutana na watu wa liokama niliokutana nao.
Pole
 
Mnabagua sana na hii itawacost ipo siku nilipotoa kuwa nimetumiwa email ya ajabu kama hizo ya mtu kuniinclude kuwa wanataka kutuua hamkutoa ushirikiano kwa maana mie ni malaya sindio nyie sio miungu Mungu ndio ananilinda. Kabisa mkae mkijua .

Najingine maisha Mungu anapanga ipo siku hata nyie mtakuwa na shida tu na mtakutana na watu wa liokama niliokutana nao.
Mwenyezi Mungu ni wa Wote..

Baya hulipwa kwa Jema..

Kuna kughafilika Mama, kuna kubanwa na maisha lakini pia majukumu, lakini pia kuna kutokuona jambo kenyewe, lakini kukosa cha kusaidia ispokua kukuombea Baraka na Neema jambo Fulani zito kwako lipite kwa wepesi, salama na Amani....🐒

kwa niaba ya yangu mwenyewe na wengine humu ndani, naomba radhi ikiwa uliona kimya pale ulipopitia kwenye jambo gumu na zito na ulihitaji msaada wa mawazo, maneno na matendo kutoka kwa familia hii...

Tumekosa sisi, tumekosa sana ndio maana tunakuomba msamaha kama tunastahili kupewa 🐒
 
Mnabagua sana na hii itawacost ipo siku nilipotoa kuwa nimetumiwa email ya ajabu kama hizo ya mtu kuniinclude kuwa wanataka kutuua hamkutoa ushirikiano kwa maana mie ni malaya sindio nyie sio miungu Mungu ndio ananilinda. Kabisa mkae mkijua .

Najingine maisha Mungu anapanga ipo siku hata nyie mtakuwa na shida tu na mtakutana na watu wa liokama niliokutana nao.
Nshakuambia mara kadhaa....njoo PM nikutoe dukuduku🙂
 
Huyu Dada she is too depressed tangu alivyofanya Abortion na kukosa kuolewa na umri kusogea she has become too anxious and troublemaker back then

Anabidi kupata matibabu ya Afya ya AKILI na KIROHO kwa pamoja.

Kulalamika Sana ni dalili Mbaya ya kutoka kuwa MTU kamili .that's
 
Back
Top Bottom