Ndugu zangu wanajamvi hili nalo ni jambo ambalo halipingiki ktk mtizamo wa siasa, ama kweli hali ya CDM ni kama ODM kutoka nchini kenya kwa uadilifu wa viongozi wa wao na mipango ya nchi ya kenya hapo baadae! Na pia hata viongozi wa CDM kutoka hapa nchini wapo kama wale wa ODM! IKUMBUKWE kwamba wanaODM WANAPENDA serikali za majimbo na vivyohivyo wanaCDM ndio mkazo wao ktk mtazamo wa maendeleo ya nchi yao yaani tz yetu! ODM iliibuka na ushindi mwaka 2007 lakini walipokonywa na fisadi wa madaraka Kibaki, na leo nasema hivi ''hata CCM wafanye hujuma ya aina gani lazima wataondolewa madarakani yaani CDM Itashinda 2015! na kukabidiwa dola ila kama watahujumiwa kama walivyohujumiwa ODM nakwambia patachimbika bila mzaha! Kwenu wadau na maoni yenu!