msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
Acha uongo hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kumuombea mabaya au kufulahia pale mwenzie anapatwa na matatizo, ni mwehu na mjinga anaweza kufanya hivyo ukiwemo wewe.Hii yote ni kwasababu serikali ya CCM imewaumiza Sana Watanzania,
Watanzania walikuwa wanasubiri siku ifike
Tazama waTanzania wanavyo Tema nyongo zao bila aibu.
Watanzania bado wanaandamana kweny nafsi zao,bado wana visasi Kwa viongozi wao.