Wanafunzi wa kike wakutwa wakivuta bangi na viroba, walimu wapeleka kwenye mitandao

Ni udhaifu mkubwadana kwa hao walimu kulets ishu kama hii kenyr mitandao. Ili iweje?Kamasheria za shule wanazo,mnategemea nani awape muongozo wa maamuzi?.Afterall tuna uhakika gani clip hii sio maigizo?
sheria ishabadilika adhabu hazitakiw kila m moja alee mwanae m wenyew na haki za mtoto zizingatiwe
 
Ni udhaifu mkubwadana kwa hao walimu kulets ishu kama hii kenyr mitandao. Ili iweje?Kamasheria za shule wanazo,mnategemea nani awape muongozo wa maamuzi?.Afterall tuna uhakika gani clip hii sio maigizo?

Kwan kabla ulikuwa na uhakika gan kama clip ya mwl frank sio maigizo

Mkuu usiwe mgeni wa shule zetu kama ulisoma feza sawa ila kama ulipita kule kwenye vyoo ambavyo kujisaidia lazma ujue kucheza lede utakuwa ulikumbana na watoto watukutu walioshindikana wanabwia viroba mpaka asubuhi

Pia ukimbuke wanadamu tuna hulka ya kubalance story baada ya ile ya kipigo waalimu walitaka kuionyesha jamii kwamba wanadeal na kizaz cha aina gan
 
Kila upande unajitahidi kupata point muhimu, itafika mahala tutaletewa hadi video za ngono toka pande zote mbili, kwa kuwa kila upande unataka kuonyesha ama kuumbua upande mwingine kwa uovu inao ufanya, mheshimiwa waziri husika hebu fuatilia kwa makini huu mnyukano "TEACHERS V/S STUDENTS, katika viwanja vya "MITANDAONI".
Kweli kabisa mkuu
 
Kama kuna mwanafunzi anahitaji bangi na viroba anipm.walimu acheni watoto wavute bangi,ukimkuta anavuta muongoze
 
Kwa kuwa wanadamu wengi hatumjui adui yetu,tutarajie mambo hovyo mengi sana hapa duniani sio Tanzania tu.Hao wanafunzi ni kielelezo wa kile kinachoendelea huko mashuleni na majumbani.
 
Walimu wale wa Mbeya SEc walipewa adhabu kubwa mno, walikosea lakini walikuwa provoked nadhani wangepewa adhabu nyingine na sio kuwaachisha chuo moja kwa moja adhabu kandamizi sana ile

Sasa naona walimu na wadau mbalimbali wanapost makosa ya wanafunzi kuonyesha upande wa pili ulivyo
iki wakatuumizie watoto wetu kwingine?
 
Kosa la hao wanafunzi haliwezi kuwafikisha polisi,
Kwa sababu
Kwanza wako chini ya 18 wangekuwa 18+ walitakiwa washitakiwe kwa kutumia madawa ya kulevya kinyume cha sheria

Pili utovu wa nidhamu wa mwanafunzi hauwezi kuwa kesi ya kufika kwa waziri wa elimu.

Kwa hiyo hapo iko hivi;
Walimu wapeleke taarifa kwa mkuu,
Mkuu amwite mzazi,
Wajadiliane, wakielewana na mtoto akaomba kusamehewa aendelee na shule, hata kama ni kwa mashart sawa

Akija kurudia afukuzwe shule,
Hizo ndizo tunazoweza kuita busara juu ya jambo kama hilo;
Wala hatupaswi kulilinganisha na lile la Mbeya,
lile la mbeya ni shambulio la kudhuru mwili, kwa upande wa sheria maana wale walimu ni18+ na nikukosa maadili ya kazi kwa upande wa wizara.


hivi kuna walimu wanaoweza kufanya hivi bado hapa nchini?? au umeandika tu kujifurahisha mkuu?? hiyo shule ni private au government?
 
Kuna kutumia madawa ya kulevya kwa mbele ya sheri??


Tuliosoma miaka ya themanini na tisini tunaijua siri ya ubora wa elimu ulokuwepo
 
Naona walimu wanalipa kisasi..!

Jamaa anasema kabisa, "tutapeleka kwenye mitandao..!"

Wa kulaumiwa ni WANASIASA UCHWARA namna walivyo handle issue ya Mbeya.

Mkuu ata mimi nimepata ukakasi yaani kuna group la walimu hapo ila mwalimu bado anauliza "nyie mnasoma form gani?",jaman huu ni mpambano wa walimu serikali na wanafunzi,wazazi tutapata shida kwa suala hili.
 
Hapa ndo utaona jamii ilivyo hizo lawama watapewa walimu wao kama wamechangi
Watanzania tuwe wakweli. Kinacholaaniwa kwa wale waalimu ni kitendo cha kumfanyia ukatili uliopitiliza yule mwanafunzi badala yakuchukua hatua zinazostahili. Hivi huyo mwanafunzi angekuwa mtoto wako au mdogo wako ungejisikiaje? Mbona hawa waalimu waliowakamata wanafunzi na viroba hawakuchukua hatua ya kujaribu kutenganisha vichwa na viwiliwili vya hawa wanafunzi kama wale walivyokuwa wanataka kutenganisha mwili na roho? Wametumia busara. Hata kama ni wanafunzi wamemfanyia unyama mwalimu lazima kitendo hicho kilaaniwe kwa nguvu zote. Issue hapa ni kulaani ukatili wa binadamu kwa binadamu mwingine.
 
Watanzania tuwe wakweli. Kinacholaaniwa kwa wale waalimu ni kitendo cha kumfanyia ukatili uliopitiliza yule mwanafunzi badala yakuchukua hatua zinazostahili. Hivi huyo mwanafunzi angekuwa mtoto wako au mdogo wako ungejisikiaje? Mbona hawa waalimu waliowakamata wanafunzi na viroba hawakuchukua hatua ya kujaribu kutenganisha vichwa na viwiliwili vya hawa wanafunzi kama wale walivyokuwa wanataka kutenganisha mwili na roho? Wametumia busara. Hata kama ni wanafunzi wamemfanyia unyama mwalimu lazima kitendo hicho kilaaniwe kwa nguvu zote. Issue hapa ni kulaani ukatili wa binadamu kwa binadamu mwingine.
Ukiona hivyo jua waalimu wamegoma kiaina.
 
Back
Top Bottom