Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,312
- 105,660
That's even worse.we unadhani ni kwanini mwl aliamua kusema tunaweka kwenye mitandao?
huoni kama ni sababu ya direct attack ya serikali kwa waalimu baada ya tukio la mbeya!!
Binadamu ni asili yetu kusawazisha mambo !!! let it happen mkuu!!
Ualimu una miiko yake. Kwenye nchi zenye kuelewa faragha ya mtoto ni nini unaweza kushtakiwa kwa kutoa picha kama hizi. Hao watoto ni underage, hawajafikisha age of majority, wanatakiwa kupewa adhabu katika framework ya shule, si kuwadhalilisha mitandaoni.
Kama walimu wana matatizo na serikali waandamane, wa deal na serikali, si kuwafanya wanafunzi kama pawns katika matatizo yao na serikali.