Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 2,346
- 3,006
Umoja wa wanafunzi wa elimu ya juu(TAHLSO) watoa masaa 48 kwa serikali kutoa tamko kuhusu wao kupiga kura katika maeneo ya vyuoni walikojiandikisha.. La sivyo watafanya maandamano ya amani na kufungua kesi mahakama kuu, kupinga na kuzuia uchaguzi wa 31October 2010