Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Nionavyo ni kuwa wanafunzi wengi wamejiandikisha kupiga kura katika vituo vilivyo karibu na vyuoni kwao. Kitendo cha kufungua vyuo vya elimu ya juu baada ya uchaguzi hakutawanyima wanafunzi haki ya kupiga kura..........??? Nahisi kama vile kuna mpango fulani wa kumkosesha Dr. Slaa kura za wanafunzi.......