cleylivi
Member
- Jul 11, 2015
- 11
- 0
Jamani inaniumaa kukosaa haki yangu ya msingi kutopiga kura,, mbona sisi wa mikoani hasa tunaosoma vyuo Dar es Salaam tumetengwa.
Mfano mimi wa Bukoba nilikuta washamaliza zoezi la kujiandikisha.
Mwenye idea kidogo kama kuna utaratibu mwingine wa kufanya ili kujiandikisha anisaidie maana shahada ile ni muhimu.
Mfano mimi wa Bukoba nilikuta washamaliza zoezi la kujiandikisha.
Mwenye idea kidogo kama kuna utaratibu mwingine wa kufanya ili kujiandikisha anisaidie maana shahada ile ni muhimu.