sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,662
- Thread starter
- #81
Nyie majitu mna roho mbaya kuliko shetani.!
hiyo operation yenu mtaendesha kwa kivuli cha chama gani na ili iweje?
tunacholilia ni kumkomboa mnyonge wa nchi hii na si madaraka as individual.
Jipangeni upya na mtafakari kwa kina hasa kuhusu jamii mnayoenda kukutana nayo na mstakabari wa nchi yetu.
Jamii kubwa ya Watanzania ni maskini wa elimu ya uraia, je tunahubiri mabadiriko ya maisha kwa jamii zetu au siasa za kuhasimiana?
Mwisho; nasema hivi Tanzania ni yetu sote na CHADEMA ni taasisi ya wote, si ZITTO, SLAA wala MBOWE. Kama Zitto ameonewa, bila shaka baraza kuu na wajumbe wake wataamua suala hili kwa masrahi mapana ya Watanzania.
Hizi laana zinatoka wapi mama yangu, kama Zitto mnaona hana uwezo mwacheni basi.