environmental
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,054
- 137
Hali sio nzuri kwa ccm hapa USA.kwani wanasema tunaongea na ndugu zetu huko nyumbani ,na wanasema watoswe CCM[MAGAMBA]Huu ni muda wa kuwatosa magamba.Asante Mama Leticia kwa kuja kutupa moyo.Makamanda hatutarudi nyuma kabisa.hiki kimbuga kitaendelea mpaka kieleweke.people power. Chadema Blog