mwenyenguvu
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 168
- 51
Wana jf hebu mnisaidie,inakuwaje hawa viongozi wa serikali wanaapa kwa katiba ya JMT harafu wala hawaisomi ili waenende sawasawa nayo,mara ngapi Mhe.Lissu amekuwa akiwaweka sawa mawaziri na watendaji kadhaa wa serikali wanapo chemka katika utendaji wao? Mara ngapi Mhe.Lukuvi,werema,job walikuwa wakizimishwa pale bunge kwa wao kwenda kinyume na katiba,katiba ya tz toleo la 2005 ina kurasa chache tu 150 zenye maandishi ambazo ni kurasa chache kuliko hata NJAMA(willy gamba) cha marehemu Musiba.
Nilimsikuliza kwa makini sana jana Mh.Lissu kwenye tv alipokuwa akiongelea kuhusu mambo ya kuunda tume,nilimwela sana na haya ya leo ya nchimbi ndio adhabu ya wale wanaoapa na kusahau japo kusoma yaliyomu ndani ya walichokiapo!!shame on you!! Mnachukiza,hivi wizara nzima haina watu wanaojua katiba walau kwa uchache tu?hii haijakaa sawa
Nilimsikuliza kwa makini sana jana Mh.Lissu kwenye tv alipokuwa akiongelea kuhusu mambo ya kuunda tume,nilimwela sana na haya ya leo ya nchimbi ndio adhabu ya wale wanaoapa na kusahau japo kusoma yaliyomu ndani ya walichokiapo!!shame on you!! Mnachukiza,hivi wizara nzima haina watu wanaojua katiba walau kwa uchache tu?hii haijakaa sawa