kwa MMU iko hapa kwa ajili ya ndoa au ya watu wenye ndoa tu??
Lakini sijakutaja mbona..!
kamada kenyewe ndo kako wapi sasa? lol...
Kaaazi kweli kweli.
Unayoyasema unauhakika nayo?Uchunguzi wako ni wa kisayansi au!Kama ni through comments basi nakupa pole, uchunguzi wako si sahihi!
masuala ya ndoa.
Duh,kwani kuna kigezo cha kuolewa/au kuoa ili uwe mwana JF?
Anyway,that's all about JF na fake IDs.
You don't have to make someone guess your real name,
your gender or your marital status.
Kuna mtu aliniomba password yangu ya sehem flani one day.
nikamtajia "alfaomega",...(don't even thing of cracking it),....akasema "alfa" haiandikwi hivyo
ni "alpha",...sasa what is the use of a password if kila mtu anaweza jua inaanzaje na kuishaje.
(By the way my password is always a key to another password).
Ndoa ina faida gani hasa ya kutisha mpaka mtu ukiikosa ujikatie na tamaa? Kulala nayo kila siku ama?
heee makubwa haya tena.
Nimegundua kuwa wana mmu wengi hasa wanawake hawako kwenye ndoa.
Ukiangalia michango yao wengi hulialia na wakati mwingine huwa na hasira sana kiasi kwamba inaonesha kuwa wamekuwa watu wa kuachwa mara kwa mara kinyume na matarajio yao. Muda unavyozidi kwenda ndivyo ndoto zao zinavyozidi kuyoyoma....basi kila mtu wanamwona ni adui kwao. Wamejikatia tamaa.
je kama wote ni wanaume.maana hakuna unayejua id yake ya kweli
umesahau wale waliokata tamaa na ndoa zao, frustrations haziwaishi, wanatamani kutoka waenjoy freedom ya kuwa single.
Amandla.
Research zingine hazina hata title!!!
kana mwiba?kamekuchoma?
kana mwiba?
​mnh hapa napita tu