collezione
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 352
- 178
Mimi ni mmoja wa wa-Tanzania naishi india.
Jana tarehe 10/01/11 GREAT THINKERS tulikutana jijini Bangarole,..
Katika kikao hicho, mambo makubwa yaliyoongelewa ni swala la katiba mpya, na mgogoro wa Arusha.
Kutokana na ufinyu wa muda, na majukumu tuliyo nayo. kikao hakikuisha, tutaendelea na kikao hicho juma lijalo.
Baada ya kikao cha wiki ijayo, tutawaletea maoni yetu humu ndani ya JF. Tunawasihi sana watanzania wenzetu, mliopo uko nyumbani Tanzania myachukue na ku-represent kwa vyombo husika.
Hatuwezi kwenda ubalozini kupeleka maoni yetu, ni wazi yatachakachuliwa. so njia sahihi ya kutoa maoni ni humu JF.
waTanzania wengi waliopo india wamehaidi kuhudhuria kikao hicho, kinacho-represent great thinkers wa india. kwa ku-sacrifies masomo na majukumu mengineyo, kwa kuhudhuria kikao hicho.
Mungu ibariki Tanzania.
ASANTENI
Jana tarehe 10/01/11 GREAT THINKERS tulikutana jijini Bangarole,..
Katika kikao hicho, mambo makubwa yaliyoongelewa ni swala la katiba mpya, na mgogoro wa Arusha.
Kutokana na ufinyu wa muda, na majukumu tuliyo nayo. kikao hakikuisha, tutaendelea na kikao hicho juma lijalo.
Baada ya kikao cha wiki ijayo, tutawaletea maoni yetu humu ndani ya JF. Tunawasihi sana watanzania wenzetu, mliopo uko nyumbani Tanzania myachukue na ku-represent kwa vyombo husika.
Hatuwezi kwenda ubalozini kupeleka maoni yetu, ni wazi yatachakachuliwa. so njia sahihi ya kutoa maoni ni humu JF.
waTanzania wengi waliopo india wamehaidi kuhudhuria kikao hicho, kinacho-represent great thinkers wa india. kwa ku-sacrifies masomo na majukumu mengineyo, kwa kuhudhuria kikao hicho.
Mungu ibariki Tanzania.
ASANTENI