sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Cwa-sawa, xana umepatia. . .
Haya nipigie makofi manake mie pia nimejitahidi kumwelewa! Lol.
Cwa-sawa, xana umepatia. . .
Hehehe! Hela zote hizi za maji tu?, lol. We kweli Don Mangi.... Sijui niagize gari zima kabisa..Poa,cheki text imeingia sa hivi, kuna na kaela ka vocha.
Like. . .
Hehehe! Hela zote hizi za maji tu?, lol. We kweli Don Mangi.... Sijui niagize gari zima kabisa..
Hahahahaaaa! Kwa raha zangu lol..Kwa principle za Don unakodisha na watu wa kuwatuma wakununulie, kukunywesha na per diem yao. . .naelewa haya mambo, plus ten percent ya muuzaji
Nimeona na nimeamini mgeni aje mwenyeji apone...Umeona ee?