Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Unamuingiza mjini au?
Hahahahaaaa dawa ya hawa wa don town ndo hii
Unamuingiza mjini au?
Anakaa New York ya Kagera
kaka hiyo lugha siijui kabisaaaaaaaa!!! umenikumbusha leo ilinibidi niwe mpole maana kutoka Kamachumu hadi bukoba gari zima kuanzia konda, dereva na abiria wooote kasoro mimi walikuwa wanaonge kihaya tu. nakumbuka konda aliongeea kiswahili aliponiomba nauli baada ya kushtukia mie siijui hiyo lugha!! vipi uko huku? na wewe ni nshomile?
Chezeiya chalii ya arusha Erickb52...Hahahahaaaa dawa ya hawa wa don town ndo hii
Huendagi?kamachumu ndo kijijini kw2 aise umenkumbusha mbali..
duh! Ila kuna maneno tunachakachuliwa balaa. Nikija huko utanipeleka?
Huendagi?
kwa maakuli (breakfast, lunch & dinner)Kuna triple 8 (888) wana msosi bomba na bei ya mtanzania.
Hhahaaaaaa wacha kijana ale raha aisee...Chezeiya chalii ya arusha Erickb52...
Dah km hana za mawazo aende victorious hotel...samaki wa ukweliUmenikumbusha mbali sana hapo 888 nilikula wali samaki na samaki alikuwa mtamu kwelikweli.Hiyo restaurant ni nzuri.
nipo huku kwa wala urojo ila nikienda tena kule nitakutaarifu tukutane hapo centre ya mji mkuu, lkn ujue safari ya kule kulala ndani ya basi si jambo la ajabu.
Hahaha! Kula kijana kwa raha zako,Hhahaaaaaa wacha kijana ale raha aisee...
mamii
wewe!!!
Hahaha! Kula kijana kwa raha zako,
nje ya mada: nataka nihamie kanisani kwenu manake naona ndio karibu na hapa nilipo, nikaribishe mgeni.
Okey, wacha niendelee kusali huku, huku mbali.. Nimekoma sirudii tena!Umeshaanza eh namuheshimu sana b52
vipi? Nimeharibu?
vipi? Nimeharibu?
Kweli jf ni zaidi ya uijuavyo, mie nilidhani neva givu apu ni mkaka lolz...sawa mamii. Mambo mengine niaje?