The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Hapa jf sometimes mtu anakuja na post akisema ana habari za
uhakika kwa jambo fulani lakini baadae hizo habari zikiwa tofauti hatupati
maelezo ya kutosha....
Mfano kuliwa na post zamani zikisema habari za uhakika kuwa
kikwete hatagombea tena urais kwa sababu za kiafya....
But now anagombea no one aliekuja kutueleza what happened????
Na habari nyingine nyingi kama vile hussein mwinyi kugombea urais 2010
na kadhalika....
Saa ushauri wangu kwa wana jf,kama mtu umekuja na habaro ambayo
it turn out imekuwa tofauti na ulivyoripoti basi pawepo na maelezo
ya ufafanuzi.....
Mimi nafikiri itasaidia sana........
uhakika kwa jambo fulani lakini baadae hizo habari zikiwa tofauti hatupati
maelezo ya kutosha....
Mfano kuliwa na post zamani zikisema habari za uhakika kuwa
kikwete hatagombea tena urais kwa sababu za kiafya....
But now anagombea no one aliekuja kutueleza what happened????
Na habari nyingine nyingi kama vile hussein mwinyi kugombea urais 2010
na kadhalika....
Saa ushauri wangu kwa wana jf,kama mtu umekuja na habaro ambayo
it turn out imekuwa tofauti na ulivyoripoti basi pawepo na maelezo
ya ufafanuzi.....
Mimi nafikiri itasaidia sana........