Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
sinywi pombe ila na kilevi changu special
Mmmmmhhh?
sinywi pombe ila na kilevi changu special
Kwa haka kachupa kamoja ...walaa mimi si mmoja wao
Unajua kachupa kamoja ka KONYAGI ni sawa na kijikatoni cha vile vi-kesto laiti?
Ila kwanini umeua bendi JF Founder, yaani mimi ndo Baba Tau wao?
Hivi mwigulu nchemba hayumo humu chitchat!
TANMO umeaga?
Usije kubondwa,nguvu kwa jirani.
tobaaaaaaaa napita
:flypig::flypig::flypig::flypig:
Mi nimeacha pombe bana. Nakunywa Grants.anaza wani mwingine huyu...
Mi nimeacha pombe bana. Nakunywa Grants.
Lazima tumrudishie Mungu sifa za uumbaji wake bana. Sasa tufanyeje wakati nao wanataka?Babu kuna takwimu nimeona mahali kuwa eti unaongoza kwenye list ya Down-lovers....
Najaribu kufikiria wakati unakunywa pombe ilikuwaje
Lazima tumrudishie Mungu sifa za uumbaji wake bana. Sasa tufanyeje wakati nao wanataka?
Nimechekaje? babu jamani, unatupandisha mori wengine hapa......hako kamshedede.Lazima tumrudishie Mungu sifa za uumbaji wake bana. Sasa tufanyeje wakati nao wanataka?Nlikuwa kawaida tu mbona? Sema tu nlikuwa hodari wa kuwinda.