Kuna viongozi ambao kwa kweli kwa kuwaangalia angalau unaona wanaweza kuibadilisha nchi kama tu watakuwa na ujasiri wa kujitoa kwenye CCM, Kama alivyosema Rais Nyerere, Upinzani Halisi utatoka humo humo kwenye Chama Tawala. Mtu kama Magufuli (to me he is my favourite among all Tanzanian politicians), Mhe. Mwakyembe, I am not sure about Mhe Sitta (Sijui kama yuko genuine au La), na wengine ambao wameonyesha mwelekeo wa kutokukubaliana na chama chao kinavyoiongoza nchi hii. Why dont they come out?????? Kwani kuna nini humo CCM? What are they afraid of??? Inanipa wasiwasi na kuhoji dhamira yao kama ni ya kweli au la!.
Kwenye upinzani pia hapako Promising jamani, Chadema is okay kama watamweka Dr W. Slaa kuwa mgombea Urais lakini huyu Mbowe sina imani naye sana.
Kwenye upinzani pia hapako Promising jamani, Chadema is okay kama watamweka Dr W. Slaa kuwa mgombea Urais lakini huyu Mbowe sina imani naye sana.