kuna wana ccm kila kukicha wanaitetea serikali blindly. ukizunguka kila mahali generator, mashule hakuna walimu wala vitabu, maji safi hakuna, mfumuko wa bei, shilingi kuanguko, mauzo nje kudorora, rushwa, uzembe nk. nani anaweza kunionyesha sector ambayo unaweza kujivumia kuwa inafanya vizuri?