Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,377
Hili si story, tunawaambia kaeni Uswazi ujue maisha!!! Ni true story kwa jirani yangu hapa ninapoishi!!
Shemeji wa kike, mdogo wa mke kaenda kumwambia rafikiye huko mtaani kuwa;
`Shem ananipagawisha sana, ana mwili mzuri wa mazoezi na hasa anapovaa `singlend` nampenda sana shem`
Maneno hayo yamezunguka mtaani then yamemfikia wife!! Sasa hapalalaliki hapakaliki hapakaliki home!!
Shem kabanwa kakiri kuyasema hayo maneno, ila wife ndo vile hana imani tena na ndoa yake though mume mtu hakuwa na habari na shem wake!!! (hakuwahi kumtamani achilia hata kumtongoza)
Jamaa arudishe vipi imani ndani ya ndoa maana kama ni kuongea wameshaongea saaaana mpaka wamechoka vikao kila leo na mbaya zaidi shem hana pa kupelekwa kwa sasa kwamba wangemuondoa, ndoa isiyo na imani nadhani wengi wetu kero yake mnaijua!! Ukimpigia tu shem simu utaulizwa mpaka yasiyokuwemo, ukikutana na shem mtaani yabidi ujifanye hujamuona coz ukimkampani mziki wake huko home ni balaa!!
Mawazo kwa mwenzetu jamani hana raha!! Akifika home huja kushinda kwa marafikize kukwepa home sababu ya maneno
Shemeji wa kike, mdogo wa mke kaenda kumwambia rafikiye huko mtaani kuwa;
`Shem ananipagawisha sana, ana mwili mzuri wa mazoezi na hasa anapovaa `singlend` nampenda sana shem`
Maneno hayo yamezunguka mtaani then yamemfikia wife!! Sasa hapalalaliki hapakaliki hapakaliki home!!
Shem kabanwa kakiri kuyasema hayo maneno, ila wife ndo vile hana imani tena na ndoa yake though mume mtu hakuwa na habari na shem wake!!! (hakuwahi kumtamani achilia hata kumtongoza)
Jamaa arudishe vipi imani ndani ya ndoa maana kama ni kuongea wameshaongea saaaana mpaka wamechoka vikao kila leo na mbaya zaidi shem hana pa kupelekwa kwa sasa kwamba wangemuondoa, ndoa isiyo na imani nadhani wengi wetu kero yake mnaijua!! Ukimpigia tu shem simu utaulizwa mpaka yasiyokuwemo, ukikutana na shem mtaani yabidi ujifanye hujamuona coz ukimkampani mziki wake huko home ni balaa!!
Mawazo kwa mwenzetu jamani hana raha!! Akifika home huja kushinda kwa marafikize kukwepa home sababu ya maneno