Ikumbukwe kuwa hakuna hata siku moja binadamu atatosheka na pesa. Huyo jamaa bado anatafuta pesa, kuna kitu anataka huko Meru ndo maana anataka kuweka mtu wake.
Ikumbukwe kuwa aliweka mtu wake Arusha mjini, ili ahamishe watu nyumba Kaloleni, ila Yule mbunge wa gamba aliyeomaliza muda wake, akamnyima.
Sijui hiyo kampuni ya dubai inayotaka kujenga pale kaloleni lijamaa lina share,
Kwa hiyo wameru muwe macho, msije kupewa hela na mkauza uhuru wenu na wa kizazi kijacho.
Nasikia wiki ijayo anakuja kuongea na washiri na kuwapa mihela, oyooooo
Naremndu!!
Ikumbukwe kuwa aliweka mtu wake Arusha mjini, ili ahamishe watu nyumba Kaloleni, ila Yule mbunge wa gamba aliyeomaliza muda wake, akamnyima.
Sijui hiyo kampuni ya dubai inayotaka kujenga pale kaloleni lijamaa lina share,
Kwa hiyo wameru muwe macho, msije kupewa hela na mkauza uhuru wenu na wa kizazi kijacho.
Nasikia wiki ijayo anakuja kuongea na washiri na kuwapa mihela, oyooooo
Naremndu!!