Wamarekani na biashara ya uchawi Oktoba 31 - Halloween

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,890
6,898
helloween 3.jpg helloween 1.jpg helloween 2.jpg
Halloween ambayo huadhimishwa Oktober 31 kila mwaka ni siku maarufu ya uchawi na wachawi. Pengine sababu ya utamaduni wao, hata hivyo hileti maana kamili kwangu. Bughdha ni pale vijana wanapofanya uharibufu majira ya usiku kupita nyumba baada ya nyumba baada ya watotow adogo majira ya jioni kupita kila nyumba wakigonga milango kuomba zawadi ya pipi. Basi kila watu na tamaduni zao, ambacho kwetu ni kioja kwao ni funny.
 
kweli hawa jamaa wananiacha mdomo wazi, yani wanapraise uchawi ambao kila siku wana tushangaa nao waafrika! Halloween sijui wanamaanisha nn hawa watu. hivi sisi watanzania tuna sikugani ya kiasilia ambayo tuna iadhimisha ambaya sio copy n paste ya west?
hawa washenzi walivuruga systems zetu zote pindi ya ukoloni yaani sasa kama hatujitambui vileeee!
 
kweli hawa jamaa wananiacha mdomo wazi, yani wanapraise uchawi ambao kila siku wana tushangaa nao waafrika! Halloween sijui wanamaanisha nn hawa watu. hivi sisi watanzania tuna sikugani ya kiasilia ambayo tuna iadhimisha ambaya sio copy n paste ya west?
hawa washenzi walivuruga systems zetu zote pindi ya ukoloni yaani sasa kama hatujitambui vileeee!

Umeona ee, walikuja na kuvurugua tamaduni zetu za asili ambazo nyingi zake zilikuwa na maana nzuri na pia imani za kumwamini Mungu. Leo wao wanaadhimisha mambo ya kishezi ya uchawi, wapi na wapi? Labda kwa vile CIA ni kazi yao.
 
Mmmmh. Halloween sales ilikuwa more than $ 7 billions. Watu wana dress up, party, eat candy. Sijasikia watu wakipractice uchawi, huo ndio uchawi wakizungu, sio wakwetu huku majanga.
 
Na ndipo wakatueleza vitu kama tunavyoviana kama kule kwenye mapango ya amboni,sehemu ya maji moto na nk'kuwa ni mambo ya kibaiolojia
 
Kumbe yale mavinyago yenye sura za binadamu na viwiliwili yaliyokamatwa kwenye contena kenya ni yao
 
Mmmmh. Halloween sales ilikuwa more than $ 7 billions. Watu wana dress up, party, eat candy. Sijasikia watu wakipractice uchawi, huo ndio uchawi wakizungu, sio wakwetu huku majanga.

Yakhe usione, kusikia au kusoma wafanyavyo watu bila kufanya uchunguzi maana, asili na mapokeo ya tukio hilo. Hiyo shughuli ni full mzuka wa kichawi (ghost wenyewe wanavyoita). Pengine huhusisha mambo ya majini ndio maana hupendelea kueleta maelezo ya jumla kama ghost.

Kihistoria ina maana nzuri tu kutoka upagani kuamini mizuka na kisha dini zikaiguza kuwa na maana ya kusherehekea waliokufa katika imani yaani watakatifu, mashahidi na waumini wengine wacha Mungu waliofariki. Ingawa kihistoria ni kama ile ya kiafrika iliyokuwa ikiadhimisha na kuwakumbuka mizimu. Chanzo au asili yake ni Waingereza wale wa Scottish huko Scotland.

Actually ni ile kitu kuhusu mahoka, na marekani utaona maudhui yake zaidi ni ghost inayoonyesha tamthilia za itikadi za kishirikina hasa uchawi, na ndio maama utaona picha ni za kutishatisha vile, watu wenye mapembe, macho yametokeza nje pee nk.
 
Yakhe usione, kusikia au kusoma wafanyavyo watu bila kufanya uchunguzi maana, asili na mapokeo ya tukio hilo. Hiyo shughuli ni full mzuka wa kichawi (ghost wenyewe wanavyoita). Pengine huhusisha mambo ya majini ndio maana hupendelea kueleta maelezo ya jumla kama ghost.

Kihistoria ina maana nzuri tu kutoka upagani kuamini mizuka na kisha dini zikaiguza kuwa na maana ya kusherehekea waliokufa katika imani yaani watakatifu, mashahidi na waumini wengine wacha Mungu waliofariki. Ingawa kihistoria ni kama ile ya kiafrika iliyokuwa ikiadhimisha na kuwakumbuka mizimu. Chanzo au asili yake ni Waingereza wale wa Scottish huko Scotland.

Actually ni ile kitu kuhusu mahoka, na marekani utaona maudhui yake zaidi ni ghost inayoonyesha tamthilia za itikadi za kishirikina hasa uchawi, na ndio maama utaona picha ni za kutishatisha vile, watu wenye mapembe, macho yametokeza nje pee nk.

kwanza twaongelea modern day halloween, pili siwezi kubisha huko uliko labda ni full mzuka wa kichawi, lakini mi nilipo its nothing more than a costume party, horror movie, candy. Sijawahi ona ghosts nimeona watu wamevaa kama ghosts, but then wapo waliovaa kama yesu wapo pia.
 
kwanza twaongelea modern day halloween, pili siwezi kubisha huko uliko labda ni full mzuka wa kichawi, lakini mi nilipo its nothing more than a costume party, horror movie, candy. Sijawahi ona ghosts nimeona watu wamevaa kama ghosts, but then wapo waliovaa kama yesu wapo pia.

Wanaovaa kama ghost wanamaanisha nini? Kwa nini picha nyingi ni za kutisha kama za kutisha kama za mashetani au watu wa kutisha?
 
Na wanao vaa kama jesus wanamaanisha nini? Kutisha hizo ni characters, movie characters, game characters, huwezi tengeneza horror movie with cute things! Utamtisha nani. Mashetani, misukule, mauaji, nivyakutisha
 
wachawi tu, sema ushashikwa kifikra huwezi liona hilo. hata ukija uchagani huwezi jua saangapi tunatambika.wewe mgeni huwezi ona na mijini watu hawafanyi matambiko. nenda vijijini ukaone vitu vya ajabu.
 
Back
Top Bottom