KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,584
- 8,611
Inasemekana watu waliovunjiwa Nyumba nakufukuzwa maeneo ya Madale Nakasanga"B" Wameonewa na wafanyabiashara waliodai wamevamiwa maeneo yao, kumbe waliowengi maeneo siyo yakwao na wengi wao ni waarabu walichangishana sh,3milioni! ili wauonge uongozi wamkoa wa Dar es salaam usimamie zoezi hilo!!Na zoezi hilo lilisimamiwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam.Kwakiwango kikubwa ambapo walivunja nyumba za wakazi wa hapo na kukiuka haki zabinadamu kwakuwachomea nyumba zao na kuwabambikia kesi kuwa wao ni waamiaji haramu!!