Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Imethibika sasa kwamba chanjo ya corona ilikuwa biashara ya kitapeli na haikuwa na hata chembe ya kuwasaidia binadamu kupambana na ugonjwa huo.
Hapa Tanzania viongozi licha ya kuonywa sana lakini waliziba masikio na kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa ya mikopo ya kuchukua chanjo za corona!!
Mliokomalia corona, lockdown na chanjo ya corona haya tuambieni corona iliondokajeondokaje hapa duniani?
Hapa Tanzania viongozi licha ya kuonywa sana lakini waliziba masikio na kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa ya mikopo ya kuchukua chanjo za corona!!
Mliokomalia corona, lockdown na chanjo ya corona haya tuambieni corona iliondokajeondokaje hapa duniani?