Walimu wametishiwa kuwa wasipotoa Tsh 15000 kwa ajili ya mwenge watafukuzwa kazi huko mkoani Mara ambapo kila mwalimu anatakiwa kuchangia kiasi tajwa kwa ajili ya mwenge.
NB
kwa mshahara upi mpaka tulazimishane kulipa hela kwa ajili ya mwenge kwanini serikali inawaonea walimu kiasi hiki.
NB
kwa mshahara upi mpaka tulazimishane kulipa hela kwa ajili ya mwenge kwanini serikali inawaonea walimu kiasi hiki.