Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Wadau, tunajua kuwa serikali imeanza kuwalipa Waalimu madai yao ya muda mrefu. Jana nimepata habari ya kushtua na kushangaza sana kuwa Walimu wanalipwa pesa zao cash kwa kupanga foleni dirishani kwa karani wa fedha!
Maoni yangu:
Hii ni kinyume na kanuni na taratibu za utoaji fedha kwa watumishi wa Serikali, mbona mishahara wanelipwa kupitia benki kulikoni madai haya? Kunani? Je walimu ambao wapo safarini au likizo za ugonjwa itakuwaje? Nimeambiwa kuwa hairuhusiwi Mwalimu kuchukuliwa pesa na mtu yoyote (whic is good). Lakini ikiwa Mwalimu akirudi baada ya likizo ya ugonjwa na kukuta zoezi limepiata itakuwahe? Maana tunajua katika Idara zote za Serikali hakuana Idara zinazoongiza kwa wizi na ufujaji wapesa kama Halmashauri za Miji ambazo ndizo zinawalipa Waalimu.
Nionavyo mimi hii ni loop hole nyingine ya Waalimu kuibiwa maana Mwalimu hana namna ya kuja stahili zake maana analipwa taslimu na akitaka kudai haki zake baadaye atatumia vigezo gani? Maana kama kuna mapunjo na amelipwa kwa hundi anaweza kuwa na kumbukumbu na ushahidi wa kuthibitisha kuwa amepunjwa kwa kutoa photocopy ya hundi ambayo kwayio alilipwa stahili zake.
Maoni yangu:
Hii ni kinyume na kanuni na taratibu za utoaji fedha kwa watumishi wa Serikali, mbona mishahara wanelipwa kupitia benki kulikoni madai haya? Kunani? Je walimu ambao wapo safarini au likizo za ugonjwa itakuwaje? Nimeambiwa kuwa hairuhusiwi Mwalimu kuchukuliwa pesa na mtu yoyote (whic is good). Lakini ikiwa Mwalimu akirudi baada ya likizo ya ugonjwa na kukuta zoezi limepiata itakuwahe? Maana tunajua katika Idara zote za Serikali hakuana Idara zinazoongiza kwa wizi na ufujaji wapesa kama Halmashauri za Miji ambazo ndizo zinawalipa Waalimu.
Nionavyo mimi hii ni loop hole nyingine ya Waalimu kuibiwa maana Mwalimu hana namna ya kuja stahili zake maana analipwa taslimu na akitaka kudai haki zake baadaye atatumia vigezo gani? Maana kama kuna mapunjo na amelipwa kwa hundi anaweza kuwa na kumbukumbu na ushahidi wa kuthibitisha kuwa amepunjwa kwa kutoa photocopy ya hundi ambayo kwayio alilipwa stahili zake.