LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Hakika nipo nyuma!
Hili la kukata rufaa kwa Mbunge wangu tajwa hapo juu litaanza kusikilizwa lini?
Kwa kuwa nina IMANI ya kwmb humu tuna kila aina ya member!
Naombeni nieleweshwe vema kbs mambo ya rufaa aliyekata Mbunge wangu ya kwmb itaanza kusikilizwa lini,na ni kwa sbb gani iwe hivyo kupelekwa mbali hivi.
Maana Mi naona kama imesogezwa mbele sana!
Mwenye kujua mambo ya rufaa anijuze vema ajuavyo!
Samahani kwa usumbufu wowote ule wadau!!
Hakuna kulala mpaka kieleweke!
NAWASILISHA HILI KIVYANGU!!
Hili la kukata rufaa kwa Mbunge wangu tajwa hapo juu litaanza kusikilizwa lini?
Kwa kuwa nina IMANI ya kwmb humu tuna kila aina ya member!
Naombeni nieleweshwe vema kbs mambo ya rufaa aliyekata Mbunge wangu ya kwmb itaanza kusikilizwa lini,na ni kwa sbb gani iwe hivyo kupelekwa mbali hivi.
Maana Mi naona kama imesogezwa mbele sana!
Mwenye kujua mambo ya rufaa anijuze vema ajuavyo!
Samahani kwa usumbufu wowote ule wadau!!
Hakuna kulala mpaka kieleweke!
NAWASILISHA HILI KIVYANGU!!