Sijaelewa
Halafu tunahangaika kumwita Chenge na Lowasa fisadi
Mnamwita wewe na nani?
Cheki wakwepa kodi hawa hapa. Ripoti imeandaliwa na
Tanzania Episcopal Conference (TEC)
National Muslim Council of Tanzania (BAKWATA)
na Christian Council of Tanzania (CCT)
TIQO hata mimi nipo nyikani, sijaelewa hata kidogo. Mbona ni kuorodhesha makampuni tu na jinsi yanavyomilikiwa na yanavyomiliki? Sioni wanakwepaje kodi na kwa kiasi gani?
Madhejebu ya dini nayo yajitenge na kutumiwa kukwepa kodi; hayako salama sana kwenye hilo.